JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majaliwa azindua kituo cha mabasi Nzega Mjini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 13 amezindua kituo kipya cha Mabasi cha Nzega Mjini mkoani Tabora ambacho ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 4.327. Akizungumza baada ya kuzindua kituo hicho ambacho utekelezaji wake umefikia asilimia…

SEforALL kuimarisha ushirikiano upatikanaji nishati endelevu

📌 Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu 📌 Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleo 📌 Waziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamoto za nishati Na Ofisi…

Wachimbaji wadogo wampa tano Rais Samia

· Umeme mgodini ‘kicheko’ · Uzalishaji waongezeka asilimia 70 WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Dhahabu wa Basia uliopo kijiji cha Mwanubi Wilaya ya Shinyanga Vijijini wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…

Vijana wawatupia lawama Wachina

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga Baadhi ya vijana walioajiriwa katika viwanda vinavyomilikiwa na raia wa China wilayani Mkuranga, Pwani wameeleza changamoto wanazokutana nazo kazini, ikiwamo ukosefu wa mikataba, vifaa vya kujikinga pamoja na unyanyasaji wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…

Serikali itaendeleza mikakati ya kukuza sekta ya mifugo- Majaliwa

 *Asisitiza kuwa mifugo ni uchumi, ajira na biashara *Atoa wito kwa wakulima na wafugaji wawe wamoja WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha sekta ya mifugo inakuwa endelevu na yenye tija. Amesema kuwa Mheshimiwa…

PIC yaridhishwa na kasi ya ujenzi uwanja wa ndege Msalato

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato na kusema kuwa, uwanja huo ukikamilika utakuwa lango la uchumi kwa wananchi wa Dodoma na…