JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hotuba ya Rais Magufuli Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika

Mheshimiwa Samia Suluhu, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiwa wa Baraza la Mapinduzi,  Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mheshimiwa Ali Hassan…

Ndugu Rais umekisikia kilio chao!

Ndugu Rais, kwa unyenyekevu mkubwa nakusihi ulitegee sikio lako huku kunena kwangu mimi mtumishi wako nisiyestahili. Kusema polisi wanatumika vibaya umegusa, ‘penyewe’! Taifa limekusikia na wananchi wamekusikia pia! Ubarikiwe sana kwa kuwarudisha masikini wa Nyalingoko katika mashimo yao wanakohangaika kutafuta…

Mitandao ya Jinsia lawamani

Wadau mbalimbali wameituhumu mitandao inayojishughulisha na masuala ya kupinga ukatili wa kijinsia, kwa kile kinachodaiwa kuwa imekuwa ikitumika kisiasa ikiwa ni pamoja na kuitumia mitandao kama sehemu ya vitegauchumi vyao. Vyanzo vya habari vimeidokeza JAMHURI kwamba asilimia kubwa ya mitandao…

Adha ya ‘Double allocation’

Jamani, mambo haya ya kiwanja kimoja kugawiwa watu zaidi ya mmoja, wenyewe kule Ardhi wanaita “double allocation” myasikiege tu, yakikufika ndipo utakapo jua hasa adha yake ni nini!  Mimi ninayaandika yaliyonipata katika hiyo inayojulikana kama “double allocation”. Kuna wananchi wengi…

Ushauri kwa Rais Magufuli

Ndugu Rais, salaam. Utii wangu kwako hauna shaka yoyote tangu nilipokufahamu ukiwa mwanasiasa chipukizi, nami nikiwa mwandishi mchanga wa habari. Mapenzi yako kwa Watanzania yananishawishi nivutiwe kukuita ‘Ndugu Rais’. Ushujaa na misimamo yako si tu kwamba vilinishawishi nivutiwe na uongozi…

Yah: Hii ni ndoto mbaya sana lakini sina budi kuikubali

N awaza sana na huwa naona ni kama hadithi au ndoto iliyoisha muda wake, naona kama kumekucha ni asubuhi na mapema najinyoosha kitandani, ni ndoto mfu, ndoto ya mchana nikiwa macho natembea, ndoto ya kweli lakini alinacha, kuna uhalisia zaidi…