JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dozi ya Waziri Mkuu kwa NGOs za Loliondo

Kwa miaka mingi, eneo la Loliondo katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, limekuwa kama ‘jamhuri’ ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Eneo hili lenye utajiri mkubwa wa wanyamapori, limekuwa likiongozwa na asasi zisizo za serikali (NGOs) zenye nguvu za…

Ndugu Rais utapimwa kwa uwezo wako wa kuleta mabadiliko!

Ndugu Rais, katika Uchaguzi Mkuu uliopita Watanzania katika ujumla wao walitaka mabadiliko. Kwa kushupalia mabadiliko, mgombea Edward Ngoyayi Lowassa aling’ara kuliko wagombea wenzake wote! Washabiki wake wengi walimtaka kwa sababu tu aliongea lugha waliyoitaka kuisikia, ya kuwaletea mabadiliko! Imani ya…

Vita ya wakulima, wafugaji ni janga

Nianze makala kwa kumshukuru Mungu ambaye kwa huruma yake anatujaalia afya njema katika maisha yetu ya kila siku. Tangu tupate Uhuru Desemba 9, 1961 hadi sasa, nchi yetu imekuwa na sifa kubwa ya Watanzania kuishi kwa utulivu na amani.   Kusema…

Adha ya ‘Double allocation’ (2)

Ndipo akateuliwa Jaji Mihayo kuisikiliza. Huyu naye alianza kuisikiliza upya. Kesi imenguruma kwa Jaji Mihayo kuanzia tarehe 01/12/2006, ikaendelea tarehe 13/04/2007, 26/06/2007, 10/07/2007, 02/11/2007. Kutokana na maombi ya wavamizi kwa Jaji Mihayo barua Kumb. Na. Mushy/A58/LND ya tarehe 03 Julai…

Ukosefu wa ajira ni matokeo ya akili zetu

Mjadala wa ukosefu wa ajira unazidi kushamiri. Ndiyo, tatizo la ajira lipo na bila shaka litaendelea kuwapo; si kwa Tanzania tu, bali kwa mataifa mengi duniani. Nchi kama ilivyokuwa Libya, kwao tatizo la ajira lilikuwa dogo. Hali hiyo ilitokana na…

Yah: Niamshwe kukicha kama kweli nimelala

Inawezekana huwa sipati usingizi, ninaota huku nikiwa macho makavu lakini naamini ninachokiona katika njozi zangu kina nasaba na ndoto ya maisha halisi yanayonigusa mimi na Watanzania wengine wengi. Hii ndiyo Tanzania hata kama ni ya ndoto lakini ndiyo Taifa langu…