JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uchaguzi Ghana somo kwa upinzani Tanzania?

Demokrasia ya Afrika imezidi kumea na kuchukua mwelekeo mpya kwa kuendelea kuibua taswira mpya ya tafsiri ya demokrasia na utawala bora, tangu kuibuka kwa wimbi la upepo wa mageuzi kwenye utawala wa kidemokrasia kupitia sanduku la kura kwa nchi nyingi za Afrika kama vile…

Vyombo vya habari binafsi

Kwa wiki mbili sasa sijaonekana katika safu hii. Niwie radhi msomaji wangu sikuchagua kutokuwapo, bali kutokana na kazi nzito ya kuchunguza magendo mpakani huko Tunduma, ilinipasa nisiwe mshika mawili. Leo nimerejea. Salamu za heri huwa hazichachi. Msomaji wangu nakutakia heri…

Mgogoro wa Israel na Palestina -1

Mzozo kati ya Israel na Palestina ni wa muda mrefu. Ni mzozo ambao umesababisha Wapalestina kuwa walemavu na wengi kupoteza  maisha. Ni mzozo ambao vilevile raia wa Israel na wanajeshi wamepoteza maisha.  Ni mgogoro ambao mataifa ya Magharibi yameshindwa kusuluhisha huku…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 27

Z’bar inaiyumbisha TRA   1.     Sukari (a)  Bill of Landing No. 3 & 4 (Inv. No. ETL/1300C/95 Metric Tons 2,000 (b) Bill of Landing No. 5 & 6 (Inv. No. ETL/1300D/95 Metric Tons 2,000 (c)  Bill of Landing…

Waziri Mkuu alivyopotoshwa Loliondo

Desemba 15, 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alifanya ziara katika Wilaya ya Ngorongoro. Safari hii ililenga, pamoja na mambo mengine, kupata suluhu ya migogoro ya ardhi inayoendelea kwa miaka mingi sasa. Migogoro katika Tarafa ya Loliondo hailengi kitu kingine, isipokuwa…

ATCL yakata jeuri ya Fastjet

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeokoa wasafiri wanaotumia ndege nchini kwa kumaliza utaratibu wa kutoa huduma mbovu, ulioanzishwa na mashirika binafsi, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. ATCL imewafuta machozi Watanzania na wageni wanaotumia usafiri wa ndege nchini, kutokana na unyanyasaji mkubwa…