JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EPL kuwakosa wachezaji 26

Wakati baadhi ya mataifa yakijiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baadhi ya ligi za barani Ulaya zitawakosa nyota wake wanaotoka barani Afrika. Ligi ya Uingereza pekee itawakosa wachezaji 26. Fainali hizo za AFCON zitaanza kutimua vumbi…

Faru John wamemnywa

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, amekalia kuti kavu baada ya taarifa kuanza kuvuja na kuonesha kuwa aliwasilisha pembe za faru ‘feki’ kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Taarifa za uhalisia wa pembe alizowasilisha zinaacha maswali mengi baada ya…

Wauza ‘unga’ wabuni mbinu

Wafanyabiashara haramu ya dawa za kulevya nchini wamebuni mbinu mpya za kukwepa kukamatwa na vyombo vya dola wanapofanya biashara hiyo, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebainisha kuwa wafanyabiashara wamefikia hatua hiyo kwa nia ya kusafirisha ‘mizigo’ bila kukamatwa. Kwasasa…

Kiwanda chaharibu mazingira

Wakazi wa Mtaa wa Kilongawima, Kata ya Kunduchi, wilayani Kinondoni, wameulalamikia uongozi wa kiwanda cha kuoka mikate cha Gulled Industry, kilichopo eneo hilo kutokana na kushindwa kudhibiti harufu mbaya inayotoka kiwandani humo. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wanasema kiwanda…

Sigara feki zatinga Dar

Biashara ya magendo imechukua sura mpya, baada ya kubainika kuwa sigara zisizolipiwa ushuru tayari zipo katika soko la Dar es Salaam, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. “Kwa sasa zinatumika mbinu mbili. Sigara za Export watu wanatengeneza makasha ya Portsman na SM….

Tuweke vipaumbele 2017

Leo zimesalia siku nne kuhitimisha mwaka 2016. Kwa wazazi wengi wiki hii na ijayo si wiki za furaha sana. Wakati watoto wanafurahi kuongeza umri wa kuishi duniani, wazazi wengi wanajiuliza ada za shule inakuwaje. Mwezi Desemba, 2016 umekuwa tofauti na…