JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wakili wa Serikali adaiwa ni Mkenya

Wakili wa Serikali katika Ofisi ya Wakili Mfawidhi Kanda ya Moshi, Omari Kibwana, anadaiwa kuwa si raia wa Tanzania kwa kuzaliwa. Kwa tuhuma hizo, Idara ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro imefungua jalada la uchunguzi ili kubaini ukweli. Kibwana ambaye amekuwa wakili…

Hongera Wizara ya Kilimo, hongereni wapambanaji

Wizara ya Kilimo imezuia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) iliyopo Makutupora, Dodoma kuendelea na utafiti wa mbegu za GMO. Uamuzi huo ni majibu kwa kilio cha wazalendo waliojitokeza kupaza sauti kuhoji uhalali wa chepuo linalopigwa ili kuruhusu mbegu hizo…

Watu watanifikiriaje, inakuchelewesha

Kama kuna neno ambalo limewafanya watu wabaki palepale walipo miaka nenda – rudi ni neno: “Watu watanifikiriaje au watu watasemaje.” Watu wengi wana ndoto kubwa, maono makubwa, mawazo makubwa ya kuibadili dunia na vipaji vingi, lakini wanafikiria watu wengine watawafikiriaje…

Miundombinu, umeme uko njia sahihi

Leo nimeamua kusitisha makala ya Raila Odinga na urais wa Kenya ili nami kidogo nishiriki kujadili na kuichambua miaka mitatu ya Rais John Magufuli. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli iingie madarakani, yametokea mambo mazuri kadhaa….

Sababu zinazochangia tumbo kujaa

Ni hali ambayo mara nyingi mtu huhisi tumbo lake limejaa wakati wote. Kila mmoja amewahi kupata hali hii mara kadhaa kwa nyakati tofauti. Japo ni hali ambayo kwa kawaida hutokana na ulaji kupita kiasi, lakini kuna baadhi pia hawana tabia…

Bravo: Rais Magufuli (1)

Alhamis, Novemba mosi, 2018 inastahili kuwa siku ya kukumbukwa kutokana na lile tukio la Rais John Magufuli kushiriki kikamilifu mdahalo muhimu pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam (Mlimani), katika ukumbi wa Nkrumah. Nafikiri, mkuu wa nchi alijisikia yuko nyumbani…