Latest Posts
Ndugu Rais wosia wa Baba usipotubadilisha ole wetu
Ndugu Rais, kama ilivyo kwa viongozi wetu wa dini wanapofanya ibada hurudia maneno yale yale na kwa msisitizo ule ule, kuwa tuache dhambi na tumrejee Muumba wetu. Maneno haya yamekwishatamkwa mara nyingi mno, lakini kwa umuhimu wake hayajawahi kuchosha wala…
Manufaa ya Ngorongoro kwa jamii, taifa
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ni miongoni mwa injini za maendeleo katika taifa letu. Dhima kuu ni kuhakikisha uhifadhi unakuwa endelevu, lakini wenye tija kuanzia ngazi ya chini kabisa ya jamii hadi taifa zima. Kwa kulitambua na kulizingatia hilo, Mamlaka…
‘Maana ya Chuo Kikuu Huria inapotea’
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda, amezungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu historia, mafanikio, changamoto na hatima ya chuo hicho. Sehemu iliyopita alieleza namna OUT ilivyosambaa nchini kote. Sehemu hii anaelezea kuhusu mtandao huo…
MAISHA NI MTIHANI (6)
Kusubiri ni mtihani. Mtihani mgumu sana maishani ni kuwa na subira ya kungoja wakati muafaka. “Ni vigumu kuwa na subira, lakini ni jambo baya mno kukosa zawadi za subira,” alisema Abu Bakr. Subira hata kwa mtu mwema ina mpaka. Mvumilivu…
Namna ya kuishinda hasira yako (1)
Unaweza kutumia miaka 20 kujenga haiba yako mbele ya jamii lakini sekunde tano tu zinatosha kukiharibu kile ulichokijenga kwa miaka 20. Mtu mmoja alikuwa akisafiri kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Akiwa njiani kwenda Yeriko aliona kaburi moja limeandikwa: “Njia ya Mungu…
Uongozi Hospitali ya Amana haukumtendea haki marehemu
Kumetokea jambo ambalo nimejitahidi nibaki nalo moyoni lakini nafsi imegoma kabisa. Nafsi imegoma kwa sababu naamini kulinyamazia kutahalalisha matukio mengine mengi ya aina hii yaendelee kufanywa. Wiki iliyopita tulipata taarifa ya msiba wa mtu tunayemfahamu. Hana umaarufu, lakini ni binadamu…