JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Msaka majangili ateswa

Siku 12 baada ya kumwandikia barua nzito, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Peter Mtani, amekamatwa na kuteswa kwa siku saba mfululizo kabla ya kuachiwa wiki iliyopita bila masharti. Mtani  amekuwa afisa wanyamapori daraja la pili,…

NHC yakaidi amri ya Mahakama

Uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) unatuhumiwa kukaidi amri ya Mahakama ya Rufani Tanzania, iliyotolewa miaka 13, iliyopita ikiwaamuru kumrudisha katika nyumba au kumlipa afisa mstaafu wa Serikali ya China, Li Jianglan, baada ya kumwondoa bila kufuata taratibu….

Moto wawaka Tunduma

Serikali imewasha moto wa aina yake katika Mji wa Tunduma baada ya kuwapa wiki moja wananchi waliojenga katika eneo la mpaka (no man’s land) kuhamisha mali na kuvunja nyumba zao kwa hiyari, JAMHURI linathibitisha. Uamuzi wa Serikali umekuja wiki moja…

Rais Magufuli usimwamini kupita kiasi Dk. Mpango

Leo ni wiki ya kwanza ya mwaka 2017. Wiki iliyopita, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ametoa mwenendo wa hali ya uchumi nchini, akisema Taifa halina mdororo wa uchumi. Ametoa takwimu kuwa kwa sasa uchumi unakua kwa asilimia…

2017 mwaka wa machungu

Nitumie fursa hii kuwatakiwa Heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ikiwa ni pamoja na kuwapa pole wale wote waliopatwa na misukosuko ya hapa na pale. Pamoja na salamu hizo za Mwaka Mpya, nasikitika kuanza mwaka huu mpya wa 2017 kwa…

KKKT kuchunguza tuhuma za ushoga

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini, limeunda kikosi kazi kuchunguza tuhuma za baadhi ya Wachungaji na Wainjilisiti wa kanisa hilo, wanaotuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Kikosi hicho kimeundwa wiki iliyopita na Askofu wa Kanisa…