JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkuu wa Wilaya, OSHA wajitosa kemikali Geita

Siku chache baada ya JAMHURI kuripoti tukio la watu wawili kuathiriwa na kinachodhaniwa kemikali mkoani Geita, hali za waathiriwa wa kemikali hizo wameanza kubabuka ngozi. Wananchi hao wakazi wa kitongoji cha Kiomboi, kijiji cha Iririka kata ya Nyarugusu mkoani Geita,…

Amri hizi ni za uonevu

Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kadhaa wamepiga marufuku matumizi ya nafaka kutengenezea pombe. Wengine wameenda mbali zaidi kwa kuwaamuru wakulima kutouza mahidi mabichi. Mwishoni mwa mwaka juzi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alipiga marufuku matumizi ya chakula cha msaada…

Yah: Muungano ni kwa maendeleo si utumwa

Marekani ni muungano wa majimbo makubwa mengi ambayo yangeweza kuwa nchi kama ilivyo kwa nchi ndogo za Afrika, lakini majimbo yale ndiyo yanayofanya taifa moja la Marekani lenye nguvu duniani kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, kiteknolojia na kadhalika. Siri kubwa ya mafanikio ya…

Haki na batili zinavyojenga figisufigisu nchini

Kumbukumbu zangu hunikumbusha na kunielekeza kwamba vitu vina jozi, maumbo yana pande mbili na majambo yana sehemu mbili – ziwe zinafanana au hazifanani, ziwe hasi au chanya, jibu kamili ni mbili. Mathalani, kuna mbingu na ardhi, usiku na mchana, ukweli…

Elimu ni ufumbuzi wa changamoto za uongozi, maendeleo

Tunaposikia kauli za viongozi kuwa uongozi wa nchi ni changamoto kubwa sana, siyo rahisi kwa wengi wetu kuelewa. Haihitaji kufanya utafiti wa kina kukubali ukweli huo. Uongozi ni mzigo mkubwa, alisema Mwalimu Julius Nyerere. Akifafanua, alisema rais anapokuwa pale Ikulu…

Faru John amtesa Prof. Maghembe

Wakati Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe, akiwatuhumu baadhi ya wadau wa sekta ya utalii kwamba wamejipanga kuhakikisha wanamng’oa katika wadhifa wake kupitia sakata la Faru John, wadau wamemtaka asiwe mfamaji. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Prof. Maghembe…