JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais turudishie umoja wetu Baba aliotuachia!

Ndugu Rais wananchi wa nyakati hizi wamechoshwa na makelele ya wanasiasa. Wanasiasa kwao wamekuwa ni laghai. Kinachofanyika katika nchi hivi sasa siyo siasa, ni chuki, ufitina na kukomoana! Walio na madaraka na wanaotafuta madaraka wamepumbazwa na uroho wa madaraka. Mwananchi…

Mchungaji abaka, alawiti, atoroshwa

Mtendaji wa Kijiji cha Luchili, Kata ya Nyanzenda, Halmashauri ya Buchosa Sengerema, mkoani Mwanza anatuhumiwa kumtorosha Mchungaji wa Kanisa la Agape, lililopo katika kijiji hicho, Geofrey Kamuhanda, anayetuhumiwa kumbaka na kumlawiti binti wa miaka 13. Vyanzo vya habari vimeiambia JAMHURI…

Bila wanyamapori hizi ndege si kitu

Dhamira ya Rais John Magufuli, katika kuijenga Tanzania mpya, inaonekana. Anatambua nafasi ya utalii katika uchumi wa nchi yetu. “Ukitaka kujenga nchi yenye uchumi wa kisasa, huwezi kujenga bila kuwa na ndege na ukitaka watalii lazima uwe na ndege. Tunataka…

Pengo la matajiri, maskini ulimwenguni ni tishio kwa wote

Shirika la Oxfam la nchini Uingereza limetoa taarifa hivi karibuni kubainisha kuwa watu 62 duniani wanamiliki zaidi ya nusu ya utajiri unaomilikiwa na nusu ya watu katika sayari hii. Watu 62 wanamiliki utajiri unaomilikiwa na watu 3,750,000,000. Oxfam wanatuambia kuwa…

Heri ya mchawi kuliko mwongo

Juma lililopita katika safu hii, nilizungumzia maneno mawili haki na batili. Haki inavyoelekeza jamii ya watu katika kweli, na batili inavyopotosha jamii hiyo katika dhuluma. Mgongano huo kifalsafa ubajenga hali ya ‘figisufigisu’ ndani ya jamii ya Watanzania. Leo naelekeza fikira…

FIFA kufanya mapinduzi ya soka

Rais mpya wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amekuja na mapendekezo mapya ya kutaka kufanya mabadiliko katika mchezo wa soka. Baada ya kuongeza timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia mwaka 2026 na kufikia 48, Rais huyo amekuja na mapendekezo mapya…