JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Meneja MPRU awa Mungu mtu

Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU), Dk. Milali Machumu, amelalamikiwa na watumishi wa taasisi hiyo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma, ubabe na ubaguzi kwa watumishi, mambo  yanayochangia sekta ya utalii kudorora. Dk….

Trump ameapishwa, Jammeh Ehe!

Nchini Marekani, mwezi Novemba, 2016 walifanya uchaguzi wa Rais. Aliyekuwa mgombewa wa Chama cha Republican, Donald Trump alishinda katika mazingira yaliyoshangaza wengi. Alimshinda aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hillary Clinton. Ingawa Clinton alishindwa katika kura za majimbo, aliibuka mshindi katika kura…

Mgogoro wa Israel na Palestina -5

Wiki iliyopita makala hii iliishia kwa kueleza kuwa Palestina si makazi ya kihistoria ya Wayahudi. Mnamo 1920 baada ya suala la udhamini wa Uingereza kwa Palestina lilipojadiliwa na Bunge- The House of Lords, Lord Sydenham alitamka… Endelea.   “Naeleza kwa…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 31

Ardhi ni kichomi ARDHI 601. Tanzania ina eneo la Kilomita za mraba 942,000. Kati ya hizo kilomita za mraba 888,578 ni eneo la ardhi. Idadi ya watu kwa kilomita ni ndogo isipokuwa kwa maeneo machache kama Wilaya za Ukerewe, Rungwe,…

Loliondo yawagonganisha Gambo, Nasha

Ukweli na uongo havikai pamoja kama ilivyo nuru na giza. Tumeyasema na kuyaandika mengi kuhusu Pori Tengefu Loliondo. Bahati nzuri wasomaji hawajachoka kuyasoma; na tunaendelea kuwaomba msichoke. Mapambano ya kulinda uhai wa Loliondo yanachochewa na ukweli kuwa bila kuwapo kwa…

Hotuba ya Rais Magufuli Mkoani Simiyu (2)

Ombi langu la tatu, ni kwa watumiaji wote tujiepushe na matumizi mabaya ya kwenye barabara ikiwa ni pamoja na kumwaga oil, kuchimba michanga kwenye madaraja, kung’oa alama za barabarani, hasa sisi ndugu zangu Wasukuma na mimi ni Msukuma, zile alama…