JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hakika Lukuvi anawezesha Watanzania

Mwaka 2004 aliyekuwa Rais wa Tanzania , Benjamin Mkapa alimleta nchini mtaalam wa uchumi, Prof. Hernando de Soto Polar (75 – sasa) kuzungumza jinsi ya kuwaondoa Watanzania katika lindi la umaskini. Nilipata fursa ya kuwapo kwenye mkutano huo uliofanyika katika…

Mgogoro wa Israel na Palestina -6

Wiki iliyopita tulishuhudia Serikali ya Uingereza ikishindwa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa juu ya Palestina kuwa taifa. Wiki hii unaletewa sehemu ya sita ya makala hii inayosimulia mgogoro wa Israel na Palestina. Endelea…   Baada ya Serikali ya Uingereza kuwa imeelemea…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 32

Rais, Waziri Mkuu waligawa fukwe MAPENDEKEZO   622. (i) Tatizo la Sheria zinzogongana Cap. 378, Cap. 390, Cap. 334. na Act  Na. 8 ya 1982 ni la muda mrefu. Tume inapendekeza ufumbuzi upatikane haraka. Aidha sheria zinazotumika sasa ziendelee kufanyiwa…

Waziri Maghembe, Wakenya ‘wagongana’ Loliondo

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, Januari 25 alifanya ziara fupi Loliondo wilayani Ngorongoro, Arusha. Malengo ya ziara hiyo yalikuwa kukagua vyanzo vya maji vilivyoharibiwa na maelefu ya mifugo kutoka ndani na nje ya nchi katika eneo la…

Ndugu Rais utufundishe kusali!

Ndugu Rais, tunasoma kuwa wanafunzi wa Bwana Yesu walimwomba Yesu, awafundishe kusali kama Yohana Mbatizaji alivyowafundisha wafuasi wake. Yesu akawajibu akisema, mnaposali semeni hivi, “Baba yetu uliye Mbinguni jina lako litukuzwe; ufalme wako uje, utakalolifanyike duniani kama mbinguni, utupatie leo chakula…

Mipango ya Benki ya Dunia inaathiri wakulima

Juma lililopita niliandika juu ya pengo kubwa lililopo kati ya matajiri na maskini. Leo nagusia maskini wa dunia hii, wakulima, na jinsi gani wao wanaandamwa na mikakati kabambe ya kuwaongezea umaskini. Taarifa ya hivi karibuni iliyochapishwa na Taasisi ya Oakland…