JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Gama kitanzini

Mbunge wa Songea Mjini (CCM), Leonidas Gama atafikishwa mahakamani wakati wowote kutokana na ufisadi, JAMHURI linathibitisha. Uchunguzi uliofanywa na gazeti la JAMHURI umebaini kuwa Gama, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atapandishwa kizimbani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya…

Kijiji chawapa Wazungu ekari 25,000

Kampuni ya AndBeyond ya Afrika Kusini, imeingia mkataba na uongozi wa Kijiji cha Ololosokwan, Ngorongoro mkoani Arusha unaoiwezesha kuhodhi ekari 25,000 za ardhi kwa ajili ya utalii wa picha. Malipo yote yanayofanywa na kampuni hiyo yanaishia mikononi mwa viongozi wa…

JAMHURI lawezesha upatikanaji madawati

Hivi karibuni gazeti hili liliandika shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu zinavyoathiri taaluma kwa ya wanafunzi wa Shule za Msingi Ikandilo iliyopo katika Kijiji cha Ikandilo, Kata ya Nyaruyeye, wilayani Geita na kusababisha baadhi ya wanafunzi kutokuhudhuria masomo ipasavyo….

Mjane aomba Rais Magufuli amsaidie

Mmoja wa wakurugenzi wastaafu wa idara iliyoshika moyo wa nchi (jina linahifadhiwa) ametajwa kushirikiana na baadhi ya Maofisa katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuandaa mpango wa kumpokonya kiwanja mkazi wa Ilala, jijini Dar es Salaam, Habiba…

Turuhusu ushindani mwendokasi

Wiki iliyopita Serikali imezindua Awamu ya Pili ya Mradi wa Mabasi ya Mwendo Kasi ( DART). Awamu hii sasa itakuwa ni ya upanuzi wa Barabara ya Kilwa kwenda Mbagala. Tanzania ni moja kati ya nchi tatu barani Afrika ambazo zina…

Mwekezaji: Rais Magufuli nisaidie

Mwekezaji wa Kampuni ya Petrofuel Tanzania Limited, amemwomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia kati mgogoro wa kibiashara unaoipotezea Serikali mapato ya wastani wa Sh bilioni 4 kila mwezi kutokana na ubabe wa watu wachache, JAMHURI limeambiwa. Satish Kumar, ambaye ni…