JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Temeke yaongoza utekelezaji miradi (2)

Uchumi Mkuu wa Idara ya Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji, Elde Kimaro, akiongelea shughuli za kilimo ndani ya Manispaa anasema Temeke ina eneo lenye ukubwa wa hekta 65,600, kati ya hizo hekta 45,000 zinafaa kwa shughuli za kilimo cha mazao mbalimbali….

Siasa ya maendeleo inahitajika

Vyama vya siasa nchini, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano bila kujali itikadi za vyama vyao, jambo linaloweza kuleta tija kwa Taifa. Akizungumza na JAMHURI, Mbunge wa Afrika Mashariki, Twaha Taslima, amesema nchi nyingi za…

Watetezi wa uhifadhi wasichoke

Kwa mwongo zaidi ya mmoja, nimekuwa miongoni mwa waandishi waliosimama kidete kutetea uhai wa wanyamapori na misitu. Mathalani, tumeamini kuwa bila Loliondo, Hifadhi ya Taifa Serengeti (SENAPA) haipo! Bila Loliondo, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) haipo; wala Masaai-Mara iliyopo…

Yah. Kazi ni utu, kaulimbiu iliyotuchoma sana ujanani

Thamani ya binadamu yeyote inabebwa na dhana ya utu alionao, na utu wa muungwana yeyote ni kufanya kazi kama kipimo cha utu wake. Wapo wanaofanya kazi zisizo rasmi lakini zinawaingizia kipato na wapo wanaofanya kazi rasmi na haiwaingizii kipato, thamani…

Madereva wa bodaboda kujitambua, ni heko

Natoa kongole kwa madereva wa bodaboda wa kituo cha Mbuyuni, Tegeta, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, kwa uamuzi wao wa kudhibitiana na kupangiana utaratibu mzuri kutii na kufuata Sheria za Usalama Barabarani, kama walivyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya…

Vita dawa za kulevya si ndogo

Nakubaliana na kauli ya viongozi, ikiwa ni pamoja na ya Rais John Magufuli, kuwa vita dhidi ya dawa za kulevya si jambo dogo. Alitamka: “Hii ni vita kubwa na siyo suala la mzaha. Ni lazima tuisimamie kwa nguvu zote.” Ni…