JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mtaji sekta ya kilimo kikwazo cha uchumi

Serikali imetakiwa kuangalia kwa mapana sekta ya kilimo pamoja na kukubali kufanyia kazi kwa vitendo ushauri unaotolewa na wataalamu wa kilimo na uchumi kwa ajili ya kufanya maboresho katika sekta hiyo. Kutokana umuhimu wa kilimo katika kufanikisha Tanzania ya Viwanda….

Haya matukio yanaashiria nini? (2)

…Hivyo hatua ya kwanza kutekeleza mfumo mpya wa utawala kutoka ule wa ukoloni tuliorithi mwaka 1961, na ambao umetumika mpaka wakati ule mwaka 1971, ilikuwa kuteua viongozi wakuu wa kisiasa kwa mikoa na wilaya.    Hawa waliitwa Wakuu wa Mikoa…

Yah: Utafiti wangu katika mambo madogo madogo ya uswahili

Kuna watu wanaona kama maisha yamekuwa magumu kupitiliza, mimi nawaunga mkono kwamba maisha ya sasa ni shughuli pevu kwelikweli kutokana na ukweli wa mabadiliko ya sera. Tulianza kwa kushangilia hotuba mbalimbali za viongozi na matamko ambayo baadhi yetu hatukuelewa kwamba…

Nyakati tatu za dua kujibiwa (2)

Wiki iliyopita, katika sehemu ya kwanza ya makala hii, nilielezea kilio cha muda mrefu cha Watanzania kuhusu hali ya jamii kimaisha siyo nzuri na sheria za nchi hazifuatwi, kama ilivyoandikwa na gazeti moja nchini, mwaka 2013. Nilinukuu aya ya kwanza…

Kupata hati unaponunua ardhi ya kijiji kwa uwekezaji

K awaida hatimiliki (granted right of occupancy) hazitolewi kwa ardhi za vijijini. Ardhi za mijini ndizo zilizo na hadhi ya kupata hatimiliki. Lakini wapo watu ambao wamechukua maeneo ya vijijni kwa ajili ya uwekezaji.   Wapo waliochukua ardhi kama wachimbaji…

Nahisi demokrasia yetu inahitaji fasili mpya (1)

Demokrasia inatafsiriwa kuwa: mfumo wa kuendesha serikali iliyochaguliwa na watu kwa manufaa ya watu. Tafsiri haina tatizo, lakini yapo mambo yanavyoweza kutokea ndani ya mfumo huo ambayo yanaweza kusababisha hitilafu kubwa. Kwa utaratibu wetu, kila baada ya miaka mitano vyama…