JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Meneja MPRU awatisha wafanyakazi

Meneja wa Taasisi ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU), Dk. Milali Machumu, analalamikiwa kwa kuendeleza ubabe kwa wafanyakazi wa chini yake, huku akiendelea kuwahamisha vituo vya kazi kwa madai kwamba wanatumikia adhabu. Baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hiyo…

BoT yaleta ahueni kwa wakopaji

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeshusha riba ya mikopo ya fedha inayoyakopesha mabenki ya kibiashara nchini kutoka asilimia 16 ya awali hadi asilimia 12. Katika barua yake yenye kumb.GA.302/389/01 Vol VII ya Machi 3,2017,  Naibu Gavana wa Benki Kuu, Dk….

Madhara ya kuacha ujamaa Tanzania

“K una namna tatu za kuendeleza usawa (Ujamaa) zaidi nchini mwetu. Kwanza ni kupunguza tofauti ya kipato baina ya watu. Ya pili ni jinsi huduma (afya, elimu nk) za jumuiya zinavyomfikia kila mtu, na kiasi ambacho huduma hizo ambazo hugharamiwa…

Ni hatari kuua biashara

Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania –  biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa.  Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…

Ni hatari kuua biashara

Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania –  biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa.  Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…

Makala: Tunamaliza mgogoro Mbarali

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, amesikiliza kilio cha wananchi na kuanzisha mchakato kufuta Tangazo la Serikali Na. 28 la mwaka 2007 lililoweka mpaka mpya kati ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha iliyopo chini ya Mamlaka ya Hifadhi za…