JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 37

Uvuvi ni vurugu tupu   B: Idara ya Uvuvi  697. Samaki ni moja ya maliasili muhimu kwa afya na uchumi wa taifa. Samaki wanapatikana katika mito, maziwa, mabwawa na baharini. Kwa kuzingatia umuhimu wa maliasili hii serika ilitunga sheria ya…

La Lissu Wanasheria wamezungumza!

Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…

La Lissu Wanasheria wamezungumza!

Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…

Mgogoro wa Israel na Palestina -12

Jibu la swali la pili linapatikana kwa mujibu wa maoni yaliyotolewa na mahakama ya kimataifa Mei 28, Mwaka 1948 kwa maombi ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Swali lililoulizwa na Balaza Kuu la Umoja wa Mataifa mbele ya mahakama…

Loliondo: Wanayofichwa Rais Magufuli, Waziri Mkuu

Nayaandika haya nikisukumwa na kauli ya Rais John Magufuli, ya “msema kweli ni mpenzi wa Mungu.” Ili mambo yaweze kwenda mbele hatuna budi kuwa na ujasiri wa kuyasema mambo kwa uwazi ili kuondoa vikwazo vinavyoashiria mkwamo. Kuusema ukweli utawafanya viongozi…

Yah: Maisha ya kufikirika bila kufanya kazi ni njozi ya mchana

Hakuna mtu asiyefikiria, hata mimi ninafikiria sana katika maisha, jambo baya zaidi ninapofikiria mimi huwa nahama mwili mzima na kuelekea kunako giza la mawazo, hii ndio sifa ya binadamu anayeweza kufikiria jambo moja kwa umakini bila kuchanganya mambo, anayeweza kufikiria…