JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbunge Mbeya aamriwa kujenga upya nyumba

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemtaka Mbunge wa Rungwe Magharibi, Saul Henry Amon, kubomoa na kujenga upya nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103, kitalu ‘S’ eneo la Mafiati Jijini Mbeya, iliyokuwa ikimilikiwa na Simbonea Kileo. Akitoa hukumu hiyo…

Ridhiwani awashukia maafisa wa maji

Mbunge wa Chalinze, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete ameujia juu uongozi wa Mamlaka ya maji safi na Usafi wa mazingira Chalinze (CHALIWASA) kwa kushindwa kusambaza maji. Katika kikao cha Madiwani wa Halmashauri ya Chalinze kilichofanyika katika…

Wakenya wajue funguo za Bologonja ziliondoka na Mwalimu Nyerere

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, kwa kusaidiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Mfaume Taka, wameendelea na sanaa yao Loliondo. Wameandika ripoti ndefu iliyojaa hadaa na kuipeleka kwa Waziri Mkuu wakitaka kumwaminisha kuwa ndio makubaliano ya wadau waliounda…

Yah: Ndoto yangu usiku wa manane katika kirago chakavu

Nimelala usingizi wa taabu na mawazo mengi yasiyo na tija, ninawaza kesho nitakula nini, ninawaza wanangu wataendaje shule siku ifuatayo, si kwa vile nalipa ada, la hasha, kwa vile hawana kifungua kinywa, hawana madaftari wala kalamu, mama chanja ananikumbusha madeni…

Unafsi unavyoleta matatizo Tanzania – 2

Wiki iliyopita katika sehemu ya kwanza ya makala hii, nilinakili baadhi ya maandishi kutoka kijitabu ‘TUJISAHIHISHE’, kichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kuhusu unafsi unavyovunja madhumuni ya umoja wa kundi lolote la binadamu. Shabaha za kunakili maandishi yale ni…

Tupunguze waheshimiwa Tanzania

Neno ‘mheshimiwa’ limekosa heshima inayokusudiwa. Ni tatizo linalotokana na ukarimu mkubwa uliopo Tanzania uliosababisha kuwapo kwa idadi kubwa ya ‘waheshimiwa’ wa kila aina. Kwenye kamusi neno hilo lina maana ifuatayo: “neno la heshima linalotamkwa kabla ya kutaja jina la mtu…