JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ningewashangaa kama wasingemshangilia…

Lingekuwa tukio la ajabu kweli kweli endapo wabunge wetu wasingemshangilia Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, alipozuru bungeni. Tena basi, ingekuwa ajabu mno kama wabunge wa kumshangilia wangekuwa wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee! Kwa wale wanahabari wanaojua maana kweli ya…

Yah: Madalali kutumia akili ni jambo jema, nguvu si uungwana

Nianze kwa kusema kabisa kwamba chondechonde madalali kutumia akili ni jambo jema, nguvu si uungwana hata kidogo, inafedhehesha taaluma yenu na kuwafanya watu wawaogope kwa ujinga na siyo kwa heshima kama ilivyo kwa taaluma nyingine. Leo nimeamka nikifikiria sana masakata…

Hisani imepotea, tuirejeshe

Ihsani (hisani) ni neno muhimu sana kwa binadamu akitambua maana na matumizi yake.  Ihsani ni moyo wa kumtendea mtu mema. Hii ni pamoja na kumhifadhi, kumkarimu na kumfanyia mtu jamala. Unapomtendea mtu hisani, si vyema kumtangaza au kumsimanga mbele ya…

Idi Amin katuletea vita na mshikamano

Siku kama ya leo, miaka 38 iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), likishirikiana na wapiganaji wa Uganda waliokuwa wanapambana dhidi ya majeshi ya Uganda waliteka Jiji la Kampala na kusambaratisha majeshi ya Idi Amin. Serikali ya Amin…

Soko la pamoja EAC bado tatizo

Wakati idadi ya wananchi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inasadikiwa kufikia watu milioni 160, baadhi ya mikoa iliyounganishwa katika miundombinu ya barabara inashindwa kulifikia soko hilo. Baadhi ya mikoa hiyo ni pamoja na Singida, mkoa unaozalisha alizeti pamoja…

Miaka minane ya kifo cha Michael Jackson

Juni 25, mwaka huu, itakuwa imetimia miaka minane tangu Michael Jackson ‘Wacko Jacko’ alipoiaga dunia. Alikuwa ni mwanamuziki mwenye vipaji vingi kutoka nchini Marekani. Alifahamika zaidi kwa jina la heshima la ‘Mfalme wa Pop’. Michael alitambulika kama mburudishaji aliyepata mafanikio…