JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania itajengwa na wenye moyo!

Jumamosi, Oktoba 22, 1966, wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na vyuo vingine jijini waliandamana kwenda Ikulu wakiwa na mabango yaliyoandikwa maneno machafu dhidi ya Serikali ya Awamu ya Kwanza iliyoongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Bango moja…

Ndugu Rais, Makamba alituambia utatubatiza kwa moto

Ndugu Rais, Yusufu Makamba alipokuwa anahutubia Mkutano Mkuu wa CCM mjini Dodoma aliwaambia Watanzania kuwa, “Jakaya Mrisho Kikwete aliwabatiza kwa maji, lakini huyu (wewe baba), atawabatiza kwa moto!” Wanasema Bunge lililipuka kwa kushangilia wakati Rais mstaafu Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete…

Mtoto ni malezi, tutoe malezi bora

Mwanafalsafa William Arthur Ward anasema, “Shukrani inaweza kubadili siku za kawaida kuwa siku za shukrani, kubadili kazi za kila siku kuwa furaha, na kubadili fursa za kawaida kuwa baraka”. Kwa msingi huo, nawashukuru wasomaji wangu wote wa makala ya wiki…

Kujenga Tanzania: Nini kifanyike? (2)

Sehemu ya kwanza ya makala hii, mwandishi alitihimisha kwa kueleza mambo manne yaliyoamuriwa kutokana na Kamati iliyoundwa kuhusu mfumo wa elimu nchini. Moja ya yaliyokubaliwa ni kuwa mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi iwe ile ile kwa wote na ingeweza…

Ningewashangaa kama wasingemshangilia…

Lingekuwa tukio la ajabu kweli kweli endapo wabunge wetu wasingemshangilia Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, alipozuru bungeni. Tena basi, ingekuwa ajabu mno kama wabunge wa kumshangilia wangekuwa wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee! Kwa wale wanahabari wanaojua maana kweli ya…

Yah: Madalali kutumia akili ni jambo jema, nguvu si uungwana

Nianze kwa kusema kabisa kwamba chondechonde madalali kutumia akili ni jambo jema, nguvu si uungwana hata kidogo, inafedhehesha taaluma yenu na kuwafanya watu wawaogope kwa ujinga na siyo kwa heshima kama ilivyo kwa taaluma nyingine. Leo nimeamka nikifikiria sana masakata…