JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ngoma inakesha, isizimwe

Siku zilizopita, niliwahi kuzungumzia nafsi inavyoweza kutenda mambo mema au mabaya kutokana na binadamu anavyotaka. Naweza kusema kwa vile binadamu ameumbwa akiwa na silika; hali ya kujitambua na anapata uwezo wa kufanya lolote atakalo. Nafsi ni roho. Nafsi inayochungwa na…

Namna ya kuijua hati halisi kabla hufanya manunuzi

Ni wangapi wamefanyiwa utapeli katika harakati za kununua viwanja au nyumba. Ni wangapi wamepata hasara kubwa kutokana na michezo ya utapeli iliyotamalaki katika ardhi nchini. Ni kesi ngapi ziko mahakamani zinazohusisha utapeli katika mauzo na manunuzi ya ardhi. Idadi ni…

Watanzania mbona tunalumbana hivi? Tatizo liko wapi?

Kutolewa kwa ripoti ya kwanza ya makinikia kulizua mjadala mkali miongoni mwa Watanzania; kutolewa kwa ripoti ya pili kumemwaga mafuta ya taa kwenye moto uliyowashwa na mjadala uliotangulia. Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uliofanywa na kamati ya rais iliyoteuliwa…

Ufafanuzi muhimu kuhusu usajili wa Acacia

Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani (local companies) na kampuni za kigeni (foreign companies). Kampuni za ndani ni zile zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama wanahisa wake wote…

Hekaheka uchaguzi TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linakwenda kufanya uchaguzi wake, huku aliyekuwa Rais wa Shirikisho hilo, Jamal Malinzi, akiwa miongoni mwa wagombea ambao mpaka wikiendi walikuwa wamechukua fomu za kugombea tena nafasi ya uongozi. Malinzi amekuwa Rais wa TFF,…

JWTZ waingia Rufiji

Kikosi maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kimepelekwa katika wilaya za Mkuranga, Rufiji na Kibiti mkoani Pwani, kukabiliana na genge la majahili linaloendesha mauaji ya askari, viongozi na wananchi wasio na hatia. Kikosi hicho kinatajwa kuundwa…