Latest Posts
Wizi Tanzanite
Madini ya tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi yanadaiwa kutoroshwa kutoka katika mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mererani mkoani Manyara. Mgodi huo unamilikiwa kwa ubia na kampuni ya Sky Associates Limited na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO). Wakurugenzi wa…
Kenya wafurahi Harbinder kuswekwa rumande
Wakati mfanyabiashara maarufu Harbinder Singh Sethi akiendelea kusota rumande kutokana na kesi inayomkabiri kuhusu sakata la akaunti ya Escrow, yenye mashtaka 12, vyombo vya habari nchini Kenya vimeandika kashfa kadhaa zilizowahi kufanywa na mfanyabiashara huyo. Mtandao wa Standard Digital wa…
Mbunge Mafia alia na Dk Machumu
Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema Taasisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) imekuwa ikiwaibia mapato halmashauri ya Mafia, yatokanayo na ada ya tozo la kiingilio kwenye maeneo iliyoyachukua kwa ajili ya shughuli za uhifadhi. Dau amesema taasisi…
Tusikubali kuibiwa tena
Kwa miezi miwili sasa tumekuwa tukishuhudia taarifa zenye kupasua mioyo ya Watanzania wanaoishi kwa mlo mmoja na kuishi katika umaskini wa kutupwa. Watanzania wamesikia taarifa za nchi hii kuibiwa wastani wa Sh trilioni 108 kupitia makinikia yaliyosafirishwa nje ya nchi…