JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais mwenda mwenye busara huongozwa na alikotoka

Ndugu Rais, tangu tulipojipatia Uhuru kutoka kwa wakoloni, zimepita awamu nne. Hii tuliyomo ni awamu ya tano. Kama nchi tumo katika mwendo. Hivyo ni busara kwetu kugeuka na kutazama nyuma kuzichambua zile awamu nne ambazo tumepitia ili tupate kuihukumu awamu…

Maendeleo hayaji kwa kuchekeana

Bajeti Kuu ya Serikali tayari imesomwa bungeni Dodoma. Imesheheni mambo mengi. Wataalamu wa uchumi wamejitokeza kusema waliyoyaona. Wapo wanaopongeza, kadhalika wapo wanaoikosoa. Wakosoaji wanahoji ukubwa wa tarakimu za bajeti hiyo. Wanasema kama iliyopita imeyekelezwa kwa kiwango kisichozidi asilimia 50; kwanini…

Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (2)

Mzee Sozigwa alikwisha-tekeleza alichoambiwa. Ilikuwa wajibu wa ofisa wa Ikulu kumshughulikia ipasavyo. Kama kweli wahusika wamezi-misplace zile nyaraka humo humo ofisini mwao, basi wao wawajibishwe lakini siyo mzee wa watu alaumiwe na kudaiwa apelike nyaraka hizo. Waingereza wanaita hali hiyo…

Wiki ya Mazingira Butiama yaibua changamoto lukuki

Juni Mosi hadi 4, mwaka huu Serikali iliadhimisha Wiki ya Mazingira Duniani kijijini Butiama ikiwakilishwa na kuongozwa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, ambaye ofisi yake ndiyo ina jukumu la kusimamia masuala ya mazingira nchini. Ni wiki iliyosheheni…

Kuzishitaki kampuni za madini kurejesha hasara tuliyopata

Mikataba yote ya kimataifa huongozwa na wajibu wa aina mbili. Wajibu ulioandikwa (express obligation) na wajibu ambao haukuandikwa (implied obligation). Wajibu ulioandikwa ni masharti yote ya mkataba yaliyo katika maandishi ambayo wahusika husoma na kuridhia, wakati wajibu usioandikwa ni masharti…

Nyambui: Tuwekeze kwenye riadha

Kocha wa Riadha wa Timu ya Taifa la Brunei, ambaye pia amepata kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amekishauri Chama cha Riadha kuwekeza nguvu nyingi katika ujenzi wa misingi mizuri kwa watoto wenye vipaji.  …