JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Magufuli anakubalika kwa Watanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, wiki iliyopita alidhihirika kukubalika kwa wananchi kupitia utafiti wa Shirika la Twaweza, uliobainisha utendaji wake kukubalika kwa asilimia 71. Utafiti huo uliopewa jina la ‘Matarajio na Matokeo; vipaumbele, utendaji na siasa…

Majivuno ni jeraha lisiloponyeka katika maisha

Tendawili: Tega! ‘Ananifanya nichukiwe na kila mtu.’ Jibu ni ‘Majivuno’. Majivuno ni jeraha lisiloponyeka katika maisha. Ni donda ndugu. Machi, 12-16 Agosti, 2013, Jarida la ‘New People’ la nchini Kenya, lilichapisha makala yangu iliyokuwa inasema, ‘Holy family’’. Padre Erickson Wangai…

Ripoti ya Kamati ya Pili ya Madini

Muhtasari wa ripoti ya kamati maalum ya kuchunguza masuala ya kisheria na kuichumi kuhusiana na mchanga wa madini unaosafirishwa nje ya nchi. Utangulizi Mheshimiwa Rais, Kama ambavyo Watanzania watakumbuka tarehe 10 April 2017, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Ndugu Rais hapa umekandamiza mwanawane

Ndugu Rais, sasa naanza kuwaelewa wanawema wengi wanaosema mengi yaliyoandikwa katika kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu au ni utabiri au ni unabii! Tumwachie Muumba afanye kazi yake. Unaweza pia ukawa mfano wa mcheza bao hodari! Nasukumwa sasa kuwaelewa vema,…

Ofisi ya Waziri Mkuu kuwainua vijana

Katika mikakati ya kuinua uchumi wa nchi na mikakati ya uanzishaji wa viwanda, Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu imetoa mafunzo kwa vijana 9,120 katika fani mbalimbali na kukuza…

Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (3)

Duniani sisi watoto wote wa Adam na Hawa tumerithi woga wa kuamua mambo. Ili kukwepa lawama, tunasukumia wengine tatizo ili sisi tuonekane tu wasafi. Tabia hii ya kukwepa kuwajibika binadamu tumeirithi toka kwa Adam na Hawa (Eva) pale bustani ya…