JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ujio wa Everton ni fursa

Tanzania imeendelea kunufaika kiuchumi na ujio wa baadhi ya wachezaji wanaokuja kupumzika baada ya kukamilika kwa ligi katika nchi hizo. Wachezaji hao ambao wengi wanatoka katika Ligi Kuu ya Uingereza wamekuja nchini kwa mapumziko ya msimu baada ya kumalizika kwa…

Majaribu Ikulu

Kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Acacia, inatuhumiwa kutaka kumhonga Rais John Magufuli, Sh bilioni 300 ili aruhusu kusafirishwa kwa makontena 277 ya mchanga wa dhahabu aliyoyazuia katika Bandari ya Dar es Salaam, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Kiasi hicho cha fedha…

Utetezi wa Acacia huu hapa

Naomba kuweka wazi kuwa, pamoja na juhudi za mazungumzo kati yetu na Serikali ya Tanzania, hakuna makubaliano yoyote ya kulipa kama vyombo vya habari vinavyoendelea kuripoti. Kile kilichowasilishwa katika ripoti za kamati ya kwanza na ya pili siyo matokeo sahihi,…

Kamishna atishiwa kuuawa

Kamishna wa Taasisi ya Kuzia na Kupambana na Dawa za Kulevya, William Sianga, ametishiwa kuuawa. JAMHURI limethibitishiwa kuwa mfanyabiashara wa madini, Timoth Mwandigo, ambaye ni mkazi wa Kijitonyama, Dar es Salaam anashikiliwa polisi akihusishwa na tishio la kumuua Sianga. Pamoja…

Biashara ya ngozi yaporomoka

Sekta ya ngozi imeendelea kuwa njia panda baada ya wadau wa ngozi kulalamika kuhusu kuharibika kwa ngozi na kukosa wateja, huku Chama cha Kusindika Ngozi nchini kikikabiliwa na uhaba wa ngozi; jambo ambalo linahatarisha uhai wa viwanda. JAMHURI limezungumza na…

Uzalendo si kuwabeba wasiokuwa na sifa

Miongoni mwa habari zilizopewa umuhimu wa juu katika matoleo yaliyopita ya Gazeti la JAMHURI, zilihusu zabuni za mabilioni ya shilingi kwenye Awamu ya Tatu ya Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini. Mradi huo ulio chini ya Wakala wa Nishati Vijijini…