Latest Posts
Muleba mwenyeji Tamasha la Boxing Desemba 26
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tamasha maarufu la mchezo wa ngumi ambalo hufanyika kila disemba 26 ya mwaka husika katika miaka ya karibuni lijulikanalo kama Boxing Derby linatarajiwa kufanyika mwaka huu wilayani Muleba mkoani Kagera. Tamasha hilo ambalo…
Madaktari wa Tanzania wahitimisha kambi tiba Comoro kwa ufanisi mkubwa
Na Mwandishi Wetu MADAKTARI tari wa Tanzania wamerejea nchini baada ya kuhitimisha Kambi tiba nchini Comoro kwa kutoa huduma kwa wagonjwa 2,770 na kufanya upasuaji kwa wagonjwa saba. Kwenye kambi hiyo ya siku saba wameweza kubaini wagonjwa takriban 269 wanahitaji…
Wakazi 359, 577 Kaliua wapata maji safi na salama
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Kaliua WAKAZI 359,577 wanaoishi katika vitongoji, vijiji na kata mbalimbali Wilayani Kaliua Mkoani Tabora wamenufaika na miradi ya maji iliyotekelezwa na serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA). Hayo yamebainishwa jana na…
Rais wa Korea Kusini Yoon atakiwa kujiuzuku kwenye chama chake
Rais Yoon Suk Yeol wa Korea Kusini ambaye alitangaza sheria ya kijeshi ametakiwa kuondoka kwenye chama chake cha People’s Power Party. Kiongozi wa chama hicho Han Dong-hoon aliwaambia waandishi wa habari “amemtaka rais huyo kujiuzulu” kutoka kwa chama. Hata hivyo…
Wakulima washauriwa kupima udongo kabla ya kuanza kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katika kuadhimisha Siku ya Udongo Duniani, Idara ya Sayansi za Udongo na Jiolojia ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanaagronomia Tanzania (Tanzania Agronomy Society – TAS) na Taasisi…
Serikali ya Ufaransa yaporomoka baada ya kura ya kutokuwa na imani
Serikali ya Ufaransa imeporomoka baada ya Waziri Mkuu Michel Barnier kuenguliwa katika kura ya kutokuwa na imani naye. Wabunge walipiga kura kwa wingi kumtaka aondoke, miezi mitatu tu baada ya kuteuliwa na Rais Emmanuel Macron. Viongozi wa upinzani walileta hoja…