JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hii Hapa Ratiba ya Kombe la FA, Liverpool Uso kwa Uso na Everton

Ratiba ya raundi ya tatu ya michuano ya kombe la Fa, imetangazwa na michezo hiyo itachezwa wikiendi ya januari 6 na 7 mwaka 2018 Liverpool wataanza michuano hiyo kwa kuchuana na wapinzani wao wa jadi Everton, huku bingwa mtetezi Arsenal…

Majaliwa Awataka Wabunge wa EAC Kutumia Michezo Kuimarisha Ushirikiano

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wabunge wanaoshiriki mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wayatumie kuimarisha ushirikiano. Ametoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Desemba 4, 2017) wakati akifungua mechi ya mpira wa miguu iliyozikutanisha timu za Tanzania na Burundi…

Chama Cha Maofisa Uhusiano Chazinduliwa Dar

CHAMA Cha Maofisa Uhusiano wa Umma (PRST) kimezinduliwa jijini Dar es Salaam, ambapo maudhui makubwa ya kuundwa kwa umoja huo ni kutambulika rasmi kama taasisi na kupanuana mawazo ya utumishi miongoni mwa wanachama, ikiwa ni pamaoja na kuendesha shughuli zao…

RC WANGABO: Wenye Madeni Lazima Wakatiwe Maji

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo ameiagiza Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Sumbawanga (SUWASA) kuwakatia maji wateja wenye madeni sugu ili waweze kulipa madeni yao wanayodaiwa na taasisi mbalimbali za serikali nchini.   Amesema kuwa uendeshaji…

Mtulia Akabidhiwa Kadi Ya CCM

  ALIYEKUWA Mbunge wa Kinondoni kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia amekabidhiwa rasmi kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mapema leo katika ofisi za chama hicho.   YALIYOSEMWA NA ALIYEKUWA MBUNGE WA KINONDONI KUPITIA CUF MAULID MTULIA MARA BAADA…

Chadema Yakanusha Kuhusu John Mnyika Kujivua Ngwamba

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekanusha taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa Mbunge wa Kibamba, John Mnyika amejivua uanachama wa chama hicho. Disemba 3 kuanzia majira ya alasiri zilianza kusambaa taarifa zinazodai kuwa mbunge huyo amekihama chama hicho…