JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Magufuli Atoa Msamaha kwa Wafungwa 8157

Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa wafungwa 8,157 ikiwa ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kati yao, wafungwa 1,828 watatoka leo na 6,329 wamepunguziwa muda wa adhabu. Miongoni mwa Wafungwa hao waliopata msaha wapo pia wafungwa…

Babu Seya na Mwanae Johnson Nguza ‘Papii Kocha Wapata Msamaha wa Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kumsamehe Nguza Viking marufu kama ‘Babu Seya’ na mwanae Johnson Nguza ‘Papi Kocha’ waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka. Rais Magufuli ameyasema hayo leo Mjini…

Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 9, 2017

Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumamosi Disemba, 9, 2017 nimekuekea hapa.  

Rais Magufuli Amtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Ulinzi

Kufuatia vifo vya Wanajeshi 14 wa Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wanasheshi wa Umoja wa Mataifa UN wa kulinda Amani nchini DRC Congo (MUNUSCO), Amiri Jeshi Mkuu, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemtumia…

Wanajeshi zaidi ya 12 wa Tanzania Wauawa DRC Congo

Umoja wa Mataifa umethibitisha kwamba walinda amani 14 wa muungano huo waliuawa na wengine 53 kujeruhiwa baada ya kambi yao kuvamiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kati ya waliouawa,…

Msigwa, Mtolea Watoa Sababu ya Wapinzani Kuhamia CCM

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema wanasiasa wanaohama kutoka vyama vya upinzani kwenda CCM, wanafanya uamuzi huo kutokana na uoga. Msigwa amesema hay oleo Ijumaa wakati akihojiwa katika kipindi cha Morning Trumpet kilichorushwa na televisheni ya Azam akiwa…