Latest Posts
Ujenzi wa Uzalendo si Suala la Mjadala
Wale wanaosikiliza hotuba za Rais John Magufuli, kuna kitu wanakipata mara kwa mara. Sijasikia hotuba yake yoyote akikosa kutaja neno ‘uzalendo’. Amediriki kusema viongozi, akiwamo yeye, watapita lakini Tanzania itabaki; na ili ibaki, Watanzania wote hatuna budi kuwa wazalendo. Rais…
Nafasi ya Kazi: Waandishi wa Habari(Trainee Journalists) Anahitajika Haraka
Job Opportunity Jamhuri Media Limited (JML), publishers of a weekly Investigative Newspaper, JAMHURI and a newly registered Magazine, THE REPUBLICAN, from June 1, 2017 entered into a 15 month contract with Tanzania Media Foundation (TMF) to embark on Institutional Transformation…
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 21, 2017
Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Alhamisi Disemba, 21, 2017 nimekuekea hapa.
Ni Kazi Kumpata Rafiki wa Kweli
Maisha ni urafiki. Mwanafalsafa mwenye asili ya Kiafrika Martin Luther Jr. King alipata kusema hivi, “Ukimya wa marafiki zetu unaumiza kuliko kelele za madui zetu”. Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote. Mwenyezi Mungu ni rafikiwa kweli katika maisha yetu…
Miaka 44 Gerezani
Ni mfungwa wa aina yake nchini. Ameingia gerezani vyama tawala vikiwa ni Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shiraz (ASP). Chama Cha Mapinduzi kimezaliwa mwaka 1977 akiwa gerezani. Amewekwa gerezani wakati ambao Tanzania haikujua kama itapigana na Uganda kwenye vita…