JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ufaransa kuipatia Ukraine silaha za nyuklia?

RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema atajadiliana na viongozi wenzake wa Umoja wa Ulaya juu ya kuruhusu kutumiwa silaha zake za Nyuklia kuisadia Ukraine. Katika hotuba yake jana kwa taifa kiongozi Macron pia alizungumzia uwezekano wa kupelekwa wanajeshi wa mataifa…

Dk Samua kuisuka upya Muhimbili kwa trilioni 1.2/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo mradi huo utagharimu USD .468…

Macron: Enzi ya ‘unyonge wa Ulaya’ imekwisha

RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron amelihutubia taifa lake kuhusu hali ya sintofahamu iliyopo duniani kutokana na mabadiliko makubwa ya sera ya Marekani juu ya Ukraine katika utawala wa Rais wa nchi hiyo Donald Trump. Kwenye hotuba hiyo kwa taifa iliyorushwa…

BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umefuta usajili wa kampuni 11 za LBL chini ya kifungu 400A cha sheria sura 212 mara baada ya kampuni hizo kufanya shughuli za kibiashara nje…

Urusi yaipongeza Ukraine utayari kumaliza vita

Serikali ya Urusi imeipongeza taarifa ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kuhusu utayari wake wa kuzungumza na Urusi ili kumaliza vita kati ya mataifa hayo mawili. Hata hivyo, Urusi imesema haijajua bado itazungumza na nani kuhusu mchakato huo. Kauli ya…