JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Barcelona Yaizalilisha Madrid, Yaitandika Mabao 3-0

KLABU ya Barcelona imeipa kichapo cha bao 3-0 mahasimu wao Real Madrid katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka nchini Hispania, maarufu kama LaLiga Santada. Katika mchezo huo wa kusisimua na ulioshuhudiwa na mamilioni ya watu duniani kote, hadi dakika…

Mohammed ‘Mo’ Dewji Amtaka Omog Kujiuzulu Simba

Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Joseph Omog ametakiwa kujiuzulu mara moja baada ya timu hiyo kuondolewa mapema katika michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) ambalo wao ndio walikuwa mabingwa watetezi. Simba ilifungishwa virago na Green Warriors inayoshiriki ligi daraja…

MAMA MOBETO AMTUPIA KIJEMBE KIAINA MAMA ESMA

MAMA mzazi wa Mwanamitindo maarufu Bongo Hamisa Mobeto, Shufaa Lutigunga amefunguka kuwa hayuko tayari kuolewa na “Serengeti Boy” wakati watu wazima wenzie wapo, kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni kumchana mama Esma aliyeolewa hivi karibuni na kijana mwenye umri mdogo kulinganisha…

Kuelekea Elclasico, Ronaldo na Messi Kufungiwa Camera za HD 4K

LEO ni vita ya kufunga mwaka kwenye Ligi Kuu Soka ya Hispania maarufu kama La Liga, amabapo Miamba miwilli ya Soka Duniani Barcelona na Real Madrid kukutana kwenye mchezo wa ligi kuwania point 3 muhimu na kuweza kufunga mwaka kwa…

Nafasi Za Kazi 100 Kutoka Tanapa

Tanzania National parks (TANAPA) is a Parastatal Organization whose mandate is to manage and regulate the use of areas designated as National Parks. The Organization currently manages sixteen National Parks which form part of larger protected ecosystems set aside to…

Halima Mdee Anena Kuhusu Uuzwaji wa Nyumba za Serikali

Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Kawe Halima Mdee leo kupitia kwenye ukurasa wake wa Kijamii wa Twitter amesema uuzwaji wa nyumba za serikali ni miongoni mwa mambo ya Kifisadi yaliyowahi kutokea na yanayoendelea kuligharimu Taifa. Halima Mdee aliongeza kusema kuwa…