JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 27, 2017

Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumatano Disemba, 27, 2017 nimekuekea hapa

BALOZI WA VENEZUELA ATIMULIWA CANADA

Canada imetangaza kumfukuza balozi wa Venezuela Wilmer Barrientos Fernández Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Chrystia Freeland alisema hatua hiyo ni jibu kwa kufukuzwa kwa mwanadiplomasia wake wa cheo cha juu kutoka Venezuela mwishoni mwa wiki. Venezuela iliilaumu Canada…

KAMA UMEGUSWA NA MTOTO HUYU MSAIDIE NA YEYE AENDE SHULE

Mtoto Msafiri Hassan ana umri wa miaka 12 mkazi wa Kitongoji cha Sanda Mkobani, Tarafa ya Mchinga, Lindi Vijijini ni mlemavu, hawezi kutembea hivyo anawaomba msaada wa kununuliwa kiti cha magurudumu ili aweze kwenda shule kama watoto wengine. Kama umeguswa…

TANZIA: MWANDISHI IDD SALUM MAMBI AMEFARIKI DUNIA

Aliyekuwa mpiga picha wa kituo cha runinga cha Azam, Iddi Mambo amefariki dunia baada ya kuugua ghafla. Msiba upo nyumbani kwao Kawe Ukwamani. “Innalillahi Wa Inna Ilaihi Rajiun”

Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 26, 2017

Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Disemba, 26, 2017 nimekuekea hapa

PIGO: CHADEMA YAZIDI KUANGAMIA

Kwa lugha nyingine tunaweza kusema CHADEMA inazidi kuangamia kutokana na kinachoendelea ndani ya chama hicho kuondokewa na viongozi pamoja na wanachama wake kutimkia chama tawala CCM. Leo aliyekuwa M/kiti wa CHADEMA Wilaya Ngorongoro, Samweli Ole Nakumbale, aliyekuwa mgombea ubunge wa…