JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MAMA MJEMA ATINGA BUGURUNI KUJIONEA BOMBA LA GESI LILOPASUKA

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, amewataka wananchi waliokumbwa na athari ya moto iliyotokea janausiku baada ya kupasuka kwa bomba la kusafirishia gesi, kuwa na subira wakati serikali ikijaribu kutafuta chanzo cha moto huo. Amesema wananchi wanaofanya shughuli za…

FULL TIME YANGA VS URA KOMBE LA MAPINDUZI NUSU FAINALI (5-4), YANGA NJEE, URA YATINGA FAINALI

Dakika ya 2:  URA wanapata kona ya kwanza Dakika ya 10:  URA wanapata faulo karibu kabisa na lango la Yanga Dakika ya 15: matokeo bado 0-0, lakini mpira ni mkali sana kila mashambulizi zamu kwa zamu Dakika ya 20: matokeo…

Mrisho Gambo Atema Cheche baada ya Lowassa kwenda Ikulu

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na MAendeleo, Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema wanamuonea wivu Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kwa kupata nafasi ya kuongea na…

WANANCHI WA LIWALE NA NACHINGWEA WALILIA BARABARA

 Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akionesha Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa watendaji wa Wilaya ya Liwale (hawapo pichani), ambapo utekelezaji wa miradi yote ya barabara hapa nchini umeanishwa humo wakati alipowatembelea kuona hali ya mtandao wa barabara katika…

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA USAFIRISHWAJI WA MBOLEA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na usafirishaji wa mbolea kutoka wa wasambazaji wa pembejeo nchini kwenda kwa wakulima. Pia ameitaka Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) kuwa na mikakati madhubuti itakayowezesha upatikanaji wa mbolea kwa wakati wote nchini. Ametoa kauli…

AZAM TV YANOGESHA ZAWADI YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI WA VPL

Bodi ya ligi (TPLB) imetangaza maboresho katika zawadi za mchezaji bora wa mwezi wa Ligi kuu Tanzania Bara, ambapo kuanzia sasa, mchezaji bora wa kila mwezi atakuwa akipata tuzo maalum ya Kikombe, fedha taslim shilingi milioni moja pamoja na king’amuzi…