JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Pombe Hii Imekorogwa na Upinzani Wenyewe

  Kama kuna wakati viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamefaidi usingizi wa pono, itakuwa ni wakati huu. Kila kukicha tunasoma habari za kiongozi mmoja au mwingine akihama kutoka chama cha upinzani na kujiunga CCM. Wengi wao ni…

Barua ya Wana Moshi kwa Rais John Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli, barua yetu inahusu BOMOA BOMOA YA RAHCO KATIKA ENEO LA PASUA BLOCK JJJ ILIYOSABABISHWA NA MGONGANO WA MAMLAKA MBILI ZA SERIKALI. Mheshimiwa Rais, kwanza tunapenda tuchukue fursa hii…

Shikuba, Tiko Kizimbani USA

Anayedaiwa kuwa kinara wa kusambaza dawa za kulevya nchini, Ally Haji (Shikuba) na wenzake wawili, Lwitiko Adam (Tiko Tiko) na Iddy Mfuru wanatarajiwa kupandishwa kizimbani mapema wiki hii, jijini, Texas nchini Marekani. Taarifa za uhakika zilizolifikia JAMHURI zimeeleza kwamba Shikuba…

LWANDAMILA AMTETEA CHIRWA KWA MASHABIKI

Lwandamina amewataka mashabiki wa timu hiyo mambo ya kombe la Mapinduzi na kuangalia michuano inayowakabili mbele yao Kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina, amemtetea mshambuliaji wa timu hiyo Obrey Chirwa, kuwa mkwaju wa penalti aliokosa ilikuwa na bahati mbaya na…

SHEREHE YA MIAKA 54 YA MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu, Mzee Ally Hassan Mwinyi.  Makamu wa Rais, Bi Samia Suluhu Hassan (mwenye miwani), Waziri Mkuu, Kassim majaliwa na viongozi wengine wakiwa kwenye hafla hiyo.  …

Igp Simon Sirro, Azungumza na Askari wa Vikosi vya Mjini Magharibi

  Mkuu wa Jeshi la Polisi Igp Simon Sirro, akizungumza na Askari wa Vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja jana alipokwenda kufanya mazungumzo ya kikazi na Maofisa na Askari Visiwani Unguja. Igp Sirro aliwataka Askari Visiwani humo…