JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SERIKALI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA NYOTA KATIKA KUVIPIMA VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI NCHINI

Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (mwenye tisheti ya mistari) akipokea maelekezo ya ramani ya jingo jipya la Mama na Mtoto katika kituo cha Afya Nkomolo, anaemfuatia ni Mganga Mkuu wa Mkoa…

WAZIRI TIZEBA AKAGUA USAFIRISHAJI WA KOROSHO MTWARA

Waziri wa Kilimo Dr.Charles Tizeba ametembelea Bandari ya Mkoa wa Mtwara na kukagua Usafirishaji wa Zao la Korosho Ghafi zinazokwenda Nchi za India na Vietnam. Kufikia January10 mwaka huu Jumla ya Tani Laki 190 za Korosho tayari zimesafirishwa ambapo lengo…

LISSU AANZA MAZOEZI UBELGIJI

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu leo ameanza kufanya mazoezi ya viungo huko Hospital anapotibiwa  inchini Ubelgiji

Hiki Hapa Lowassa Alichozungumza Ikulu na Maguful

Hichi ndicho Lowassa alichozungumza na Rais Magufuli alipokwenda Ikulu Januari 9 mwaka huu 2018

SONGWE: HATUTAKAA KMYA KUONA MTU SIO RAIA WA TANZANIA KUPATA KITAMBULISHO CHA URAIA

Wananchi wa Kata ya Itaka Kijiji cha Itaka wengi wao wakiwa ni akina Mama, wakijificha Mvua nje ya moja ya Kituo cha Usajili wakati wakishiriki zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa linaloendelea kwenye Kata hiyo     Afisa Usajili Mamlaka…

TBA YATAKIWA KUHAKIKISHA MAENEO YAO YANA HATI

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA), mkoa wa Mtwara Edward Mwangasa, wakati alipokuwa akikagua nyumba zinazomilikiwa na Wakala huo, mkoani humo. Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA), mkoa…