JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MAJALIWA:SERIKALI HATUTASUBIRI KUWAUNDIA TUME WEZI, MAFISADI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma nchini wasijihusishe na vitendo vya wizi, ufisadi kwani Serikali haitosubiri kuwaundia tume za kuwachunguza bali itawashughulikia hapo hapo. Amesema Serikali haikotayari kuwavumilia watumishi wanaojihusisha na wizi, ubadhilifu, rushwa na uzembe, hivyo ni…

MWENYEKITI MPYA WA UVCCM AWASILI RASMI OFISINI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Kheri D James akisalimiana na Mtumishi wa Makao Makuu ya Umoja wa Vijana  wa CCM Bi.Sheila Alipowasili katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Umoja wa Vijana Wa CCM Upanga Leo….

MHASIBU WA SIMBA KIKAANGONI

Shirikisho la soka Tanzania TFF imewapeleka kwenye kamati ya maadili viongozi wanne kwa kughushi na udanganyifu. Viongozi walioshitakiwa kwenye kamati ya maadili ni msimamizi wa kituo cha Mtwara Dunstun Mkundi, katibu wa chama cha soka mkoa wa Mtwara Kizito mbano,…

WAZIRI TIZEBA ATEMBELEA NALIENDELE

Jumla ya miche ya Mikorosho Million10 imezalishwa na Taasisi ya utafiti wa Kilimo NALIENDELE Iliyopo mkoani Mtwara kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania CBT kwa ajili ya kusambaza katika mikoa yote inayozalisha Zao la korosho

Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 16, 2018

 Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Januari,16, 2018 nimekuekea hapa

Wafukuzwa Kwenye Ardhi Yao Kupisha Wachina

Wananchi katika Kijiji cha Nyasirori, Butiama mkoani Mara, wanalalamika kuondolewa katika ardhi yao kupisha kampuni ya uchimbaji dhahabu bila kulipwa fidia. Wameuomba uongozi wa juu wa Serikali kufika Nyasirori kuona namna walivyoonewa na kampuni hiyo ya ZEM Co. Ltd ambayo…