JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 21, 2018

Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumapili Januari,21, 2018 nimekuekea hapa                                    …

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA

 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo  Gari la Balozi wa China hapa nchini Tanzania…

MTWAREFA YAOMBA RADHI WADAU WA SOKA-MTWARA.

Kutokana  na Kamati ya Maadili Kuwakuta na Hatia Viongozi wawili Wa Shirikisho la Soka TFF akiwemo Msimamizi wa  Mchezo Mkoa wa Mtwara Dastan Mkundi pamoja na katibu Mku wa Chama Hicho Mkoa wa Mtwara Kizito Mbano Mwenyekiti wa soko Mkoa…

WAZIRI MKUCHIKA AWAFUNDA WALENGWA WA TASAF

Waziri wa Nchi Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Mhe. George Mkuchika (aliyevaa suti nyeusi) akikagua bidhaa zilizotengenezwa na Walengwa wa TASAFkatika mtgaa wa Inyala katika jiji la Mbeya  kama njia mojawapo ya kujiongezea  kipato.  Waziri Mkuchika (aliyevaa tai)…

Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 20, 2018

Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumamosi Januari,20, 2018 nimekuekea hapa