JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MWALIMU NANI? ADHA ZA TAKSI DAR ES SALAAM

Mapema mwezi huu nikiwa Dar es Salaam nilituma ujumbe kuomba huduma ya usafiri wa Uber, huduma nafuu ya usafiri wa taksi ambayo imeleta nafuu ya gharama za usafiri jijini humo. Katika kutumia Uber nimegundua tatizo moja la msingi. Madereva hawana…

POWER ON FITNESS GYM KUUKARIBISHA MWAKA MPYA KWA STYLE YA KIPEKEE

Power on Fitness Gym iliyopo Mwenge, kinondoni, Jijini Dar es salaam imeandaa siku maalumu kwa ajili ya kujumuika pamoja, kufanya mazoezi na kuukaribisha mwaka mpya wa 2018. Shughuli hiyo itafanyika siku ya jumamosi January 27,2018 katika viwanja vya posta vilivyopo…

GMOS: KIGINGI KWA UFANISI WA KILIMO MANYARA

NA RESTITUTA FISSOO, MANYARA Ni ukweli usiopingika kuwa ili kufikia azma ya Serikali ya kufanya kilimo kuwa biashara, kukuza kipato, matumizi ya sayansi na teknolojia vinahitajika ili kuongeza uzalishaji na tija kwa mkulima. Hata hivyo, teknolojia mpya ya kubadilisha vinasaba…

USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA KUZUIA RUSHWA

Na Lawrence Kilimwiko, DAR ES SALAAM “Sisi tunaoishi vijijini huku, haki zetu zote zina bei. Yaani hata ukikamata mwizi wa ndizi yako, ili umkamate inabidi uwe na hela ya kumpa mgambo akukamatie mwizi wako. Ukimpeleka mahakamani unahitaji hela ya teksi,…

UAMUZI HUU WA SERIKALI UTAINYONGA ELIMU YETU

Na ATHUMANI KANJU Hivi karibuni, Serikali kupitia Kamishna wa Elimu, Dk Edicome Shirima, ilitoa taarifa kwa umma ikizitaka shule binafsi kuwarejesha mara moja katika madarasa yao wanafunzi waliokaririshwa madarasa ama kuhamishiwa shule nyingine kwa kigezo cha kushindwa kufikia wastani uliowekwa…

DAWA BANDIA TISHIO AFRIKA

NA MTANDAO Ongezeko la biashara ya dawa bandia limekuwa janga kubwa barani Afrika linalokua kwa kasi, huku ikiripotiwa kusababisha vifo vya watu wapatao 100,000 kwa mwaka. Utafiti uliofanywa na Shirika la Kimarekani linalojihusisha na dawa za magonjwa ya tropiki, limesema…