JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

YANGA KUANZA MBIO ZA KLABU BINGWA AFRIKA LEO TAIFA

Yanga SC leo wanatupa kete yao ya kwanza katika michuano ya Ligi Mabingwa Afrika watakapomenyana na Saint Louis Suns United ya Shelisheli katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo…

Hawa Hapa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa Walioteuliwa na Mwakyembe

Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) kwa mujibu wa Sheria ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ya mwaka 1967 pamoja na marekebisho yake ikisomwa na muundo wa shughuli za Baraza (Provisions of…

Tambwe Hiza kuzikwa Leoa, Makaburi ya Chang’ombe, Temeke, Dar es Salaam

MWILI wa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Richard Tamilway maarufu kwa jina la ‘Tambwe’ aliyefariki dunia juzi asubuhi nyumbani kwake Mbagala Kizuiani, unatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi katika Makaburi ya Temeke Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Kaka wa…

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumamosi Februari 10, 2018

Husipitwe na vilivyoandikwa kwenye magazeti leo Jumamosi, tarehe 10, februari, 2018

SHEREHE YA MWAKA MPYA YA MABALOZI WA TANZANIA ALIYOIANDAA RAIS MAGUFULI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kuwakaribisha Mabalozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni Februari 9, 2018 kabla ya kuanza kwa hafla ya kukaribisha mwaka mpya kwa Mabalozi hao.  Rais wa…