JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Benedict Rasha Ndiye Aliyegundua Kuungua kwa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka

Na Albano Midelo Benedict Mapunda (Rasha) mwenye umri wa miaka 66 mkazi wa kijiji cha Ntunduwaro ndiye aliyegundua kuungua moto kwa mgodi wa madini ya makaa ya mawe Ngaka uliopo Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma mwaka 2006. Inakadiriwa moto…

Matumizi ya Gypsum Kwenye Ujenzi Yanazua Hofu

Mwaka 2011 nililala kwenye hoteli ya mjini Moshi, chumba kilirembwa na dari iliyonakshiwa kwa jasi inayojulikana zaidi kama gypsum. Ilikuwa ni jasi iliyokaa muda mrefu na ilikuwa inapukutika kwa urahisi. Siku iliyofuata niliiugua, nikapatwa na homa kidogo na mafua, ingawa…

Prof. Kairuki Anaishi Baada ya Kifo

Na Mwandishi Wetu   Februari 6, mwaka 2018 ilitimia miaka 19 tangu Prof. Hubert Kairuki alipofariki dunia. Katika kipindi kama hicho, wapo maprofesa wengi waliofariki hapa nchini na nje ya nchi siku hiyo. Ni kwa bahati mbaya kuwa siku walipofariki…

Pingu Yaibua `Zengwe’ kwa Mtuhumiwa wa Mauaji Moshi

Na Charles Ndagulla,Moshi Hatua ya kutofungwa pingu kwa mmoja wa Wakurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Scolastica, Edward Shayo (63), anayetuhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo, Humphrey Makundi imezua utata na kuhojiwa na baadhi ya mahabusu wa…

Tanesco-Mbezi `Wanamtafuta’ Makonda

Serikali ya Rais John Magufuli imejidhihirisha kwa umma, kwamba azma yake ni kuhakikisha wananchi wanyonge wanapata huduma wanazozistahili bila ukiritimba. Kutokana na dhana hiyo, Mpita Njia anaamini kuwa raia hawapaswi kuombwa rushwa, ‘kuzungushwa’, kunyanyaswa ama kufanyiwa kitendo chochote kinachokiuka haki…

CCM, CHADEMA Jiandaeni Kisaokolojia

Wiki hii unafanyika uchaguzi mdogo katika majimbo ya Kinondoni, Dar es Salaam na Siha, Kilimanjaro. Uchaguzi huu umeitishwa kutokana na waliokuwa wabunge Godwin Mollel (CHADEMA) na Maulid Mtulia (CUF) kuhama vyama vyao wakajiunga na CCM baada ya kuvutiwa na utendaji…