Latest Posts
Wizara ya Maji Yaanza Kutekeleza Agizo la JPM Kwa Kasi
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe akikagua mitambo ya kusukuma maji katika eneo la Mailimbili mapema leo wakati wa ziara yake yakukagua namna Wizara hiyo kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dodoma (DUWASA) itakavyofanikisha mradi wa…
MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martine Shigela akizungumza na watumishi na wananchi wa Komkonga juu ya utunzaji wa vifaa hivyo na kupongeza uongozi wa Halmashuri kwa ujenzi wa maabara ndogo. Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe aki shukuru…
Chadema yahofia wapiga kura wachache
NA WAANDISHI WETU Takribani siku nne kabla ya kufanyika uchaguzi mdogo katika majimbo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na Siha mkoani Kilimanjaro, hofu ya kujitokeza wapiga kura wachache imeibuka kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHDEMA). Mgombea ubunge katika…
Usajili wachezaji wa kigeni uzingatie vigezo
NA MICHAEL SARUNGI Usajili wa wachezaji wa kigeni usiozingatia vigezo vinavyotakiwa umesababisha klabu nyingi zinazocheza Ligi ya Vodacom Tanzania Bara kujikuta zikisajili wachezaji wasiokuwa na viwango na kusababisha kukosa nafasi za kucheza na kuishia kukaa benchi. Wakizungumza na JAMHURI kwa…
AFYA: Usizidharau dalili hizi
Hizi ni dalili mbalimbali zinazojitokeza kwenye miili yetu. Japo zinaweza zisiashirie tatizo, lakini kama ikitokea zinajirudia mara kwa mara ni vyema kupata vipimo na ushauri wa kiafya. Dalili ya kwanza ni udhaifu wa kwenye miguu na mikono kunakoambatana na ganzi….