JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MKIKITA WATEMBELEA CHUO CHA KILIMO CANRE NA KUTOA MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA

 Uongozi wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania ukitembelea bwawa linatumiwa kufundishia wanafunzi ufugaji wa samaki katika Chuo cha Kilimo, Mifugo na Maliasili (Canre), kilichopo Bonyokwa nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Anaye waongoza ni Mkuu wa Chuo hicho,…

PROF. MBARAWA AAHIDI KUKAMILIKA KWA UJENZI WA DARAJA LA MTO MARA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akitoa maelekezo kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/S Gemen Engineering & Mayanga, Mhandisi Andrew Nyamtori (kulia), alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mto Mara, linalounganisha Wilaya ya Tarime na Serengeti,…

RC MTAKA ASITISHA MALIPO YA SHILINGI BILIONI 1.9 KWA WAKANDARASI WALIOSHINDWA KUKAMILISHA MIRADI

  Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthoy Mtaka(kulia) akiwa na baadhi ya viongozi wa Mkoa huo na Wilaya ya Meatu wakiondoka eneo la mradi wa maji wa Itinje mara baada ya kukagua mradi huo wakati wa ziara yake ya kukagua…

MAFUNZO YA MSAADA HUDUMA ZA KISAIKOLOJIA KWA WAHUDUMU VITUO VYA HUDUMA,TIBA MWANZA YAFUNGWA

    Mratibu wa Kudhibiti Ukimwi mkoa wa Mwanza Dk. Pius Masele amefunga mafunzo ya siku tano kuhusu msaada na huduma za kisaikolojia kwa wahudumu wa jamii wanaosaidia kazi katika vituo vya huduma na tiba kwa watu wanaoishi na Maambukizi…

Wananchi wamkataa mkuu wa wilaya Kwimba

Taarifa iliyotolewa leo Februari 16, 2018 na ofisi ya waziri mkuu imeeleza kuwa wananchi hao wametoa kauli hiyo baada ya kuzuia msafara wa Majaliwa alipowasili katika ofisi za Halmashauri ya wilaya Kwimba kwa ajili ya kuzungumza na watumishi, akiwa katika…

Mwigulu Amtaka IGP Sirro Kufanya Uchunguzi wa Kina Mauaji ya Katibu wa CHADEMA, Kinondoni

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba ameliagiza Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi kina kuhusu tukio la mauaji ya aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kata ya Hananasif, Daniel John yaliyotokea Kinondoni jijini Dar es Salaam na matukio mengine ya mauaji…