JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Fastjet na roho mbaya

Mpita Njia (MN) hukutana na mambo mengi ambayo wakati mwingine anashindwa kuyanyamazia, na hivyo kuwafanya baadhi ya watu wamwone kama mtu ‘mfukunyuku’. Februari 12, 2018, MN alikuwa miongoni mwa wasafiri wa ndege ya Fastjet yenye namba FN-144 kutoka Mwanza kwenda…

Ngombale-Mwiru: Afisa JKT asiye na ‘rank’

Nimefurahishwa na ule ufafanuzi uliotolewa na Monsinyori Deogratias Mbiku katika Gazeti la Kiongozi toleo No. 06 la tarehe 09 – 15 Februari 2018 uk. 3 – 4. Kwa maelezo yake katika “Gumzo kuhusu Kanisa kumzika Kingunge” Monsinyori ameeleza wazi namna…

Busara itumike katika matumizi ya maneno

Na Angalieni Mpendu Dhani na Ongopa ni maneno ambayo baadhi ya watu duniani huyatumia ima kwa nia njema, au kwa nia mbaya ya kuwagombanisha, kuwafarakanisha, kuwaangamiza, au kuwaua watu wengine katika familia, jumuiya au taifa. Ukweli maneno haya ni vitenzi,…

Yah: Tunajali vyeti na siyo uwezo wa mtu binafsi

Nianze na salamu za mfungo wa mwezi kwa Wakristo wenzangu. Najua lengo mojawapo ni kuombea amani na upendo baina yetu. Najua kwamba wengi wetu tunafaidi hii hali ya utulivu tulionao tofauti na mataifa mengine ambayo wakati mwingine hawajui kesho yao…

DAWASA NA DAWASCO ZATAKIWA KUPELEKA HUDUMA ZA MAJI PEMBEZONI MWA JIJI LA DAR

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Juma Aweso (wa pili toka kulia) akiwa na katibu tawala wa Wilaya ya Temeke, Edward Mpogolo wakati wakipatiwa maelezo machache juu ya uharibifu wa miundo mbinu ya maji inayofanywa na wananchi wasio waaminifu wakati wa…