JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makamu wa Rais afungua mkutano wa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu mabadiliko ya tabianchi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Viongozi wa Taasisi na Mashirika wanawajibika kuchangia juhudi za Serikali katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuandaa na kutekeleza mikakati itakayosaidia kupunguza uzalishaji…

Salma Kikwete : Sikupata kura za itifaki, nilipambana bila kutishika

ALIKUWA Mwalimu na Mke wa Rais, lakini safari yake haikukamilika kwa kuwa mke wa Rais.  Leo ni Mbunge wa Jimbo la Mchinga,mkoani Lindi akiongoza kwa mfano na dhamira ya dhati. Mama huyo, pia ni mwanasiasa ambaye ni mke wa Rais…

Mawakala wa vyama kielelezo cha uwazi uboreshaji daftari la wapiga kura

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwepo wa mawakala wa vyama vya siasa wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ni kielelezo cha uwazi na ni muhimu kwa kuwa mawakala hao watasaidia kutambua waombaji wa eneo…

Urusi imeshambulia Ukraine usiku kucha

Takriban watu wanane wameuawa katika mfululizo wa mashambulizi ya usiku yaliyofanywa na Urusi kote nchini Ukraine. Haya ndio tunayojua kufikia sasa: