Latest Posts
Musoma Vijijini inateketea (1)
Na Dk. Felician Kilahama Kwanza nianze makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye kwa mapenzi yake ametujalia zawadi ya uhai mpaka tukaweza kuufikia mwaka 2018. Ni mwaka wa matumaini, lakini pia umeanza kwa baadhi ya maeneo nchini mwetu kugubikwa na…
CCM yashinda Siha, Kinondoni “Zaidi ya wapiga kura laki tatu wasusia”
*Zaidi ya wapiga kura laki tatu wasusia DAR ES SALAAM NA WAANDISHI WETU Wagombea wa Chama Cha Mapinduzi, katika uchaguzi mdogo uliofanyika katika majimbo ya Siha na Kinondoni, wameibuka washindi. Jimbo la Siha, Dk.Godwin Mollel ametangazwa mshindi, huku Kinondoni akitangazwa…
ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ILEMELA NA NYAMAGANA. MKOANI MWANZA
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ilemela na Nyamagana wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza Sehemu ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ilemela na Nyamagana wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim…
Udumishaji wa udugu na Nchi za Kirafiki na Misaada kwa Wapigania Uhuru
Wiki iliyopita tulipata kusoma katika maandiko ya mwalimu “Maendeleo ni Kazi” jinsi chama kilivyotoa maagizo mawili ambayo ni siasa ni kilimo na agizo juu ya viwanda vidogo vidogo kama njia ya kutekeleza masharti ya uongozi. Sehemu inayofuata ni mwendelezo wa…
TIRDO: Maabara za utafiti wa kukuza uchumi viwanda
DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Viwanda nchini (TIRDO), limesema kwamba mwaka huu linaendelea kufanya utafiti wa kina kuhusu uanzishaji wa viwanda na kuipeleka nchi katika kukuza uchumi kwa njia ya viwanda. Mkurugenzi Mkuu…