JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta…

NA ANGELA KIWIA Ni wiki moja sasa tangu nchi yetu ikumbwe na kilio cha kumpoteza mpendwa ndugu yetu, Akwilina Akwilini. Sitaki kabisa kukumbuka tukio hilo lililojaa simanzi na taharuki katika bongo zetu. Maisha ya Mtanzania sasa yanaanza kuogofya. Tunaishi kwenye…

Oliver Mtukudzi mwanamuziki mkongwe Afrika

Na Moshy Kiyungi Oliver Mtukudzi ni mwanamuziki mkongwe, anayevuma sana hata nje ya mipaka ya nchi yake ya Zimbabwe. Nyimbo zake zinazohamasisha amani na kutoa burudani barani Afrika, zimesababisha yeye kutumika kama alama katika taifa hilo hususan kwa upande wa…

Frostan yasalimu amri, yateketeza nyama mbovu

NA MICHAEL SARUNGI Hatimaye Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imeteketeza kilo 1,103.58 za nyama mbovu, mali ya kampuni ya Frostan Limited ya Dar es Salaam. Kuteketezwa kwa nyama hiyo kumefanyika Februari 21, mwaka huu, ikiwa ni baada ya JAMHURI…

Wafugaji wa sungura wa kisasa ‘walizwa’ Moshi Vijijini

Na Charles Ndagulla, Moshi Tegemeo la kutajirika kwa wakazi zaidi ya 20 katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi Vijijini kupitia mradi wa ufugaji wa sungura wa kisasa, limetoweka baada ya kuachwa na wawezeshwaji wao, kampuni ya Rabbit Bilss Tanzania. Viongozi…

Utumikishwaji: Bomu linalowalipukia watoto Dodoma

Na Zulfa Mfinanga, Dodoma Vitendo vya utumikishwaji wa watoto bado vinaendelea nchini licha ya kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi 193 zilizokubaliana juu ya ukomeshaji wa ajira kwao. Tanzania ni miongoni mwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa (UN) waliosaini…

Mateso ni mwalimu katika maisha

“Bila mateso na kifo maisha ya binadamu hayawezi kukamilika.”-Viktor Frankl “Tunapewa baadhi ya mateso kwa ajili ya kutuadabisha na kutusahihisha kwa sababu ya namna yetu mbaya ya kuishi. Mateso mengine tunapewa si kwa ajili ya kutusahihisha makosa yetu ya zamani…