JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MSIUZE UFUTA WENU MASHAMBANI PELEKENI MINADANI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakulima wa ufuta katika mikoa inayolima zao hilo nchini kuuza kwa kutumia njia ya minada na si mashambani.   Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Machi 03, 2018) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa…

BAADA YA RAIS TRUMP KUTOA KAULI TATA, KUHUSU BARA LA AFRIKA, SASA WAZIRI WAKE REX TILLERSON KUJA AFRIKA

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Rex Tillerson, anatarajiwa kufanya ziara ya siku nane barani Afrika kuanzia Jumanne wiki ijayo. Hii itakuwa ziara yake ya kwanza kwenye bara hilo kama waziri. Taarifa iliyotolewa na wizara ya mambo ya nje ya…

WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua mradi wa usambazaji wa maji kwenye vijiji vinavyopitiwa na mradi wa maji Mbwinji na ameridhishwa na unavyoendelea. Mradi huo unaosimamiwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Masasi-Nachingwea (MANAWASA) unatarajiwa kukamilika Machi 31,…

MADIWANI WAIFAGILIA VITUO VYA TAARIFA NA MAARIFA VYA TGNP KUCHOCHEA MAENDELEO

BAADHI ya madiwani walioshiriki katika mkutano wa kubadilishana uzoefu na kujifunza jinsi ya kushirikiana na wananchi katika kuleta maendeleo katika kata zao, wameipongeza TGNP Mtandao na kuiomba kupanua shughuli zake mikoa mbalimbali ili kuchochea shughuli za maendeleo hasa ya miradi…

WAZIRI MAHIGA AIJIBU KAULI ZA EU NA MAREKANI

Serikali imetolea majibu kauli za Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na ile ya Umoja wa Ulaya (EU) ambazo kwa nyakati tofauti zilionyesha kuwa kuna changamoto katika masuala ya ulinzi nchini wakitolea mifano ya kutoweka kwa baadhi ya watu pamoja na…

HALI SI SHWALI CHADEMA, MWENYEKITI WA BAVICHA KILIMANJARO ASIMAMISHWA KAZI

Hali ni tete ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya chama hicho kuchukua hatua ya kumsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Baraza la Vijana, Dickson Kibona. Kibona alisimamishwa kazi Februari 28, mwaka huu, ikiwa zimepita siku…