JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Utitiri wa kodi unaua biashara’

DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Wafanyabishara katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam wameiomba Serikali kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wote nchini wapate fursa kubwa ya kuitumia Bandari ya Dar es Salaam, badala ya kuikimbia. Wafanyabiashara hao…

‘Wakorea Weusi’ watishia amani Mbeya

Na Thompson Mpanji, Mbeya   KUIBUKA kwa kundi kubwa la vijana wanaofanya uhalifu bila woga huku wakijiamini kutenda makosa ya jinai hata kutishia maisha na mali za wakazi wa Jiji la Mbeya wanaojiita “Wakorea Weusi”, limezidi kutia hofu na kuwalazimisha wananchi walio…

Akwiline azidi ‘kumliza’ Waziri wa JPM

NA ANGELA KIWIA Kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) cha jijini Dar es Salaam, Akwiline Akwilina kinaendelea ‘kutesa’ mioyo ya watu. Akwiline aliuawa Februari 16, mwaka huu baada ya kupigwa risasi akiwa kwenye daladala. Risasi…

Mapitio ya Sheria za Kazi nchini Tanzania (2)

NA WAKILI STEPHEN MALOSHA, DAR ES SALAAM UTATUZI WA MIGOGORO Kuanzia kifungu cha 75 hadi 95 ni eneo linalohusu utatuzi wa migogoro, kwanza ni kutumia majadiliano baadaye kutumia nguvu, rejea kifungu cha 80 na 81. Eneo la mwisho ni utatuzi…

Tukatae kuvaa ‘kafa Ulaya’

  NA MWANDISHI MAALUMU, DAR ES SALAAM Kwenye gazeti la The Citizen la Ijumaa, Februari 16, 2018 kulikuwa na stori ambayo pengine kutokana na hekaheka za uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha, watu wengi hawakuipa uzito unaostahili….