JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mafanikio yoyote yana sababu (13)

Padre Dk Faustin Kamugisha Kujiamini ni sababu ya mafanikio. “Kujiamini! Kujiamini! Kujiamini! Huo ni mtaji wako,” alisema John Wanamaker. Kujiamini ni raslimali yako. Safari kuelekea kwenye jiji la mafanikio inahitaji mafuta yanayoitwa kujiamini. Uwezekano wa kushinda unazidi hofu ya kushindwa….

Soma vitabu uyashinde maisha

”Kama mtu fulani angeniambia kuwa siku moja ntakuwa Papa, ningesoma kwa bidii”                                                    – Papa Yohane Paul I Mtunga mashairi wa Uingereza George Gordon Byron Noel [1788-1824] alipata kuitumia kalamu yake kuandika hekima hii, ”Tone moja la wino wa…

Lugha ni chombo cha mawasiliano

Na Angalieni Mpendu  0717/0787 113542 Lugha ni chombo cha mawasiliano, na kinaunganisha pande mbili katika mambo mbalimbali: kama vile elimu, mahusiano na kadhalika. Lugha pia ni mpangilio wa sauti na maneno unaoleta maana ambayo hutumika na watu kuanzia familia, taifa…

WENGER AWATULIZA MASHABIKI WA ARSENAL, AIBABUA AC MILLAN 3-1

Baada ya Arsenal jana kuitandika AC Millan, kwa mabao 3-, uwenda mashabiki wa Arsenal wanaweza kutuliza mzuka wa kumlazimisha Mzee wenga kung’atuka kwenye timu ya Arsenal. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Danny Welbeck ambaye alifunga magoli mawili na goli la…

MAGAZETI YA IJUMAA LEO MARCH 16,2018