JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BAADA YA MZEE WENGER KUOMBA POO, ARSENAL YAMNYATIA GUARDIOLA

Taarifa zinaeleza kuwa Uongozi wa Arsenal umeanza kufanya mazungumzo ya kimyakimya na Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ili kuchukua nafasi ya Arsene Wenger. Hatua hiyo imekuja kufuatia Wenger kutangaza kuondoka Arsenal baada ya kuitumikia kwa miaka 22 akiwa Kocha…

YANGA YAJIANDAA KUIADHIBU MBEYA CITY KESHO

Kikosi cha Yanga kinaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City kikiwa mjini Mbeya leo. Tayari kikosi hicho kimeshaondoka jijini Dar es Salaam kuelekea Mbeya kwa usafiri wa ndege ambapo kesho kitakuwa na kibarua…

SIMBA SC KAZINI LEO KUUMANA LIPULI FC

Kikosi cha Simba kinashuka dimbani Uwanja wa Samora mjini Iringa kikiwa mgeni dhidi ya Lipuli. Simba itakuwa inacheza bila kiungo wake Jonas Mkude ambaye atakosekana kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano. Mkude atalazimika kusubiri mechi dhidi ya…

YANGA SC KUWA KWENYE KUNDI GANI? ITAJULIKANA LEO

Droo ya upangaji wa timu zitakazokutana hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika inatarajia kufanyika Jumamosi ya leo Aprili 21 2018. Jumla ya timu 16 zimeshatinga kuingia hatua hiyo baada ya michezo 16 kupigwa ndani ya wiki hii. Yanga…

Askari 6 Waliohusishwa na Kifo cha Akwilina Hawana Hatia

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Biswalo Mganga amelifunga rasmi jalada la kesi ya aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilin (22). Alisema kuwa, alipokea jalada la kesi ya askari sita waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi la Polisi…