JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bandari ya Mtwara fursa ya viwanda

Na Mwandishi Maalum Katika makala haya tunakuletea maelezo kuhusu Bandari ya Mtwara, ambayo ni miongoni mwa bandari kuu tatu (3) za mwambao wa Bahari ya Hindi zilizo chini ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Bandari nyingine kuu ni…

Hotuba ya Rais Magufuli machimboni Mirerani (2)

  Hotuba hii ya Rais John Magufuli, aliitoa Aprili 6, 2018 wakati wa uzinduzi wa ukuta wa machimbo ya tanzanite Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara. Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli, alimzawadia mgunduzi wa madini hayo, Mzee Jumanne Ngoma, Sh milioni…

MALARIA YAPUNGUA MPAKA ASILIMIA 7. 3 NCHINI.

Kasulu, Kigoma MAAMBUKIZI ya viashiria vya ugonjwa wa Malaria Nchini Tanzania yame pungua kwa Watoto chini ya miaka mitano kutoka asilimia 14.4 mwaka 2015 na kufikia asilimia 7.3 kwa Mwaka 2017 hii ni kuzigatia harakati zinazo fanywa na Wizara ya…

Bomu la watu laja Afrika -2

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nilizungumzia wingi wa watu unaokuja duniani na hasa Bara la Afrika. Tanzania kwa sasa inakadiriwa kuwa na watu milioni 58. Mwaka 1950 nchi yetu itakuwa na watu milioni 138. Afika kwa sasa inatajwa kuwa na…

Makonda azua gumzo bungeni

Na Editha Majura, Dodoma Ushawishi wa wabunge wa kutaka Bunge na Serikali, kumchukulia hatua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kutokana na hatua yake ya kuita na kusikiliza hadharani vilio vya baadhi ya wanawake waliotelekezwa na kutopewa…

Mbunge apongeza kutimuliwa Dk Machumu

*JAMHURI lilianika ukweli wote likatishwa * CAG amaliza kazi, Mpina apongezwa DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema amefurahishwa na hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina kumsimamisha kazi Meneja wa Taasisi…